SPORTPESA WAMPA CHETI CHA SHUKRANI MAKAMU WA RAIS
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea cheti cha shukrani toka kwa Mtendaji Mkuu wa Sportpesa Kenya Bw. Ronald Karauri, Sportpesa  imetoa Cheti cha Shukrani kwa Makamu wa Rais kwa ushiriki wake wakati wa ujio wa timu ya Everton nchini ambao umechangia kuitangaza nchi kwenye michezo na utalii duniani, Wengine pichani ni Mkurugenzi wa Utawala na Utekelezaji Sportpesa  Tanzania Bw. Abbas Tarimba (katikati), afisa Uhusiano Sportpesa Tanzania,Bi. Sabrina Msuya wa pili kulia na Mkuu wa Operesheni Sportpesa Tanzania Bw. Lucas Neghesti wa pili kushoto. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

HomeJamii

SPORTPESA WAMPA CHETI CHA SHUKRANI MAKAMU WA RAIS

Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amepokea Cheti cha Shukrani kutoka kwa SportPesa kuto...

CHUO CHA USIMAMIZI WA WANYAMAPORI-MWEKA KUANZA KUTOA MAFUNZO MAALUM KWA WATOA HUDUMA ZA UTALII NCHINI.
WATOTO 20 WENYE MATATIZO YA MOYO WAFANYIWA UPASUAJI WA BILA KUFUNGUA KIFUA
JICA YAAHIDI KUENDELEA KUIMARISHA MIUNDOMBINU YA TANZANIA






Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amepokea Cheti cha Shukrani kutoka kwa SportPesa kutokana na mchango ushiriki wake wakati wa Ziara ya Everton nchini, akizungumza wakati wa makabidhiano hayo Bw. Abbas Tarimba amesema mara baada ya ziara ya Everton jina la nchi yetu limekuwa likizungumzwa kila mahala duniani.

Makamu wa Rais alisema ni jukumu la kila kiongozi Tanzania kuhakikisha nchi inapiga hatua katika kila sekta hivyo ushiriki wao katika mambo ya msingi yatasaidia nchi kukua na kuiletea maendeleo.​





Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mtendaji Mkuu wa Sportpesa Kenya Bw. Ronald Karauri (kushoto) Mkurugenzi wa Utawala na Utekelezaji Sportpesa  Tanzania Bw. Abbas Tarimba (kulia), afisa Uhusiano Sportpesa Tanzania,Bi. Sabrina Msuya wa pili kulia na Mkuu wa Operesheni Sportpesa Tanzania Bw. Lucas Neghesti wa pili kushoto ambao walimkabidhi Makamu wa Rais Cheti cha Shukrani kwa ushiriki wake wakati wa ujio wa timu ya Everton nchini ambao umehamasisha michezo na utalii. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)








Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: SPORTPESA WAMPA CHETI CHA SHUKRANI MAKAMU WA RAIS
SPORTPESA WAMPA CHETI CHA SHUKRANI MAKAMU WA RAIS
https://i.ytimg.com/vi/onWvgXWwoIo/hqdefault.jpg
https://i.ytimg.com/vi/onWvgXWwoIo/default.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/10/sportpesa-wampa-cheti-cha-shukrani.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/10/sportpesa-wampa-cheti-cha-shukrani.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy