NAIBU WAZIRI UJENZI AWASILISHA MUSWADA WA SHERIA SHIRIKA LA SIMU TANZANIA
HomeJamii

NAIBU WAZIRI UJENZI AWASILISHA MUSWADA WA SHERIA SHIRIKA LA SIMU TANZANIA

Naibu Waziri wa Ujenzi, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Elias John Kwandikwa (kushoto) akifuatilia kwa makini majadilia...

TUWACHUKULIA HATUA WATAKAOTOZA FEDHA KUPIMA MALARIA NA KUUZA DAWA MSETO: WAZIRI UMMY
HOJA/MTAZAMO- JAMII IENDELEE KUELIMISHWA KUHUSU UHIFADHI NA ULINZI WA MAENEO YA UOTO WA ASILI
MEYA WA JIJI LA DAR ES SALAAM ISAYA MWITA ZIARANI NCHINI IRAN KWA SIKU 10






Naibu Waziri wa Ujenzi, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Elias John Kwandikwa (kushoto) akifuatilia kwa makini majadiliano wakati wa kupokea maoni ya wadau mbele ya Kamati ya Bunge ya Miundombinu kuhusu Muswada wa Sheria ya Shirika la Mawasiliano Tanzania kwenye kikao kilichofanyika ukumbi wa Pius Msekwa, Bungeni, Dodoma. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Prof. Norman Sigalla King akifafanua jambo kwa wajumbe (hawapo pichani) wa Kamati hiyo



Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania, Waziri Waziri Kindamba akifafanua jambo mbele ya Kamati ya Bunge ya Miundombinu kuhusu Muswada wa Sheria ya Shirika la Mawasiliano Tanzania kwenye kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa Pius Msekwa, Bungeni Dodoma




Naibu Katibu Mkuu wa Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Angelina Madete (aliyekaa) akifuatilia majadiliano ya wadau kuhusu Muswada wa Sheria ya Shirika la Mawasiliano Tanzania mbele ya Kamati ya Bunge ya Miundombinu kilichofanyika kwenye ukumbi wa Pius Msekwa, Bungeni Dodoma

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: NAIBU WAZIRI UJENZI AWASILISHA MUSWADA WA SHERIA SHIRIKA LA SIMU TANZANIA
NAIBU WAZIRI UJENZI AWASILISHA MUSWADA WA SHERIA SHIRIKA LA SIMU TANZANIA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjOGPjI71fD6NFrj7Ejff3e4xzkNeLauYyI8VZT2PMKK-8-bCAmlVYcRiFjgaqsT4M4obnvIqoxh8mp-dHrueR0tfdOdD2Xnr8ekpCTgzBfgcTFvLHtofgiit3td5h_v7DNjlSlJDV2a9Ui/s640/NA.1.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjOGPjI71fD6NFrj7Ejff3e4xzkNeLauYyI8VZT2PMKK-8-bCAmlVYcRiFjgaqsT4M4obnvIqoxh8mp-dHrueR0tfdOdD2Xnr8ekpCTgzBfgcTFvLHtofgiit3td5h_v7DNjlSlJDV2a9Ui/s72-c/NA.1.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/10/naibu-waziri-ujenzi-awasilisha-muswada.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/10/naibu-waziri-ujenzi-awasilisha-muswada.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy