TUMEYA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA (THBUB) YATOA POLE KWA JESHI LA POLISI
HomeJamii

TUMEYA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA (THBUB) YATOA POLE KWA JESHI LA POLISI

TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA Kitalu Na. 8, Mtaa wa Luthuli S.L.P 2643, DAR ES SALAAM Simu: +255 22 2135747/8; 21371...





TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
Kitalu Na. 8, Mtaa wa Luthuli
S.L.P 2643, DAR ES SALAAM
Simu: +255 22 2135747/8; 2137125; 2135222
Faksi: +255 22 2111281
Barua Pepe: chragg@chragg.go.tz
Tovuti: www.chragg.go.tz


Septemba 29,2017

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


Salamu za pole kwa Jeshi la Polisi


Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) inaungana na Watanzania kumpa pole Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Kamanda IGP, Simon Sirro kwa nyumba zaidi ya kumi (10) za Askari wa Jeshi la Polisi zilizopo kata ya Sekei, Mkoani Arusha kuteketea kwa moto.


Pia, Tume inatoa pole kwa familia zote za Askari wa Jeshi la Polisi walioathirika na tukio hilo la kusikitisha lililotokea usiku wa Septemba 27 kuamkia Septemba 28,2017, na inawaomba kuwa na subira katika wakati huu mgumu.


Tume inapenda kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuchukua hatua za haraka za kutoa kiasi cha Shilingi Milioni 260 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba mpya za askari walioathirika na tukio hilo.


Pia, inaupongeza uongozi wa Jeshi la Polisi kwa kuzisaidia familia zilizoathirika na kwa hatua za haraka inazochukua kuhakikisha familia hizo zinapata makazi mapya mapema.
Imetolewa na:


(SIGNED)


Mhe. Iddi Ramadhani Mapuri
Makamu Mwenyekiti


TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA


Septemba 29, 2017

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: TUMEYA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA (THBUB) YATOA POLE KWA JESHI LA POLISI
TUMEYA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA (THBUB) YATOA POLE KWA JESHI LA POLISI
https://lh5.googleusercontent.com/L2imhvPk0rxgK3GY_TiCoibbyYCPO6_UgSTdr7pawf1HTV5AXLBIgCiV99jto8dbbLptVKva3XTU1p34isnelKli9CAqEeBVSsSV9XgrFKP0riVIcMV0CsrjePs1dygqC_cJ2uzdGQsw8LvLZg
https://lh5.googleusercontent.com/L2imhvPk0rxgK3GY_TiCoibbyYCPO6_UgSTdr7pawf1HTV5AXLBIgCiV99jto8dbbLptVKva3XTU1p34isnelKli9CAqEeBVSsSV9XgrFKP0riVIcMV0CsrjePs1dygqC_cJ2uzdGQsw8LvLZg=s72-c
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/09/tumeya-haki-za-binadamu-na-utawala-bora.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/09/tumeya-haki-za-binadamu-na-utawala-bora.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy