MAFURIKO YALETA MADHARA CHALINZE MZEE, MBUNGE KIKWETE AOMBA MSAADA
HomeJamii

MAFURIKO YALETA MADHARA CHALINZE MZEE, MBUNGE KIKWETE AOMBA MSAADA

  NA K-VIS BLOG   MVUA za masika zinazoendelea kunyesha hivi sasa, zimeleta madhara makubwa kwenye maeneo kadhaa ya jimbo la Chalinze mko...

MKURUGENZI WA JIJI ARUSHA ATOA SEMINA KWA WATENDAJI WAKE
KIPINDI CHA CLOUDS 360 KILIPORUSHWA MUBASHARA KUTOKA HIFADHI YA TAIFA YA SERENGETI
TAARIFA KWA UMMA; SERIKALI YAKANUSHA 'WAZIRI MWAKYEMBE MAISHA YAKE HAYAKO HATARINI'
 
NA K-VIS BLOG  
MVUA za masika zinazoendelea kunyesha hivi sasa, zimeleta madhara makubwa kwenye maeneo kadhaa ya jimbo la Chalinze mkoani Pwani.  Mbunge wa Jimbo hilo, Ridhiwani Kikwete, amesema maeneo yaliyoathirika sana na mafuriko hayo ni pamoja na Chalinze Mzee  Bwawa la umwagiliaji la Msoga, ambalo kingo zake zimetoboka, na shule ya sekondari Imperial.
Alisema, zaidi ya Kaya 20 hazina mahala pa kuishi baada ya nyumba 9 kubomolewa na mafuriko hayo.
 

Aidha, alisema kuwa madhara mengine yaliosababishwa na mafuriko hayo ni kuharibika kwa mashamba, na kwa sasa wananchi hao wanahitaji msaada.
Ridhiwani ambaye alitembelea eneo hilo, ametoa pole kwa wakazi hao na kuwaomba kuwa vumilivu katika kipindi hiki.



 
Mbunge wa Chalinze, Mhe. Ridhiwani Kikwete, (mwenye nguo nyeupe) na baadhi ya wananchi wakitembelea moja ya maeneo yaliyoathirika na mafuriko ya mvua huko Chalizne Mzee.


 
Baadhi ya Nyumba katika eneo la Chalinze Mzee zikiwa zimearibika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. 



Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete akiangalia madhara yaliosababishwa na mafuriko katika jimbo hilo la Chalinze. 



Wakazi wa chalinze wakiangalia nyumba zao zilizobomoka kutokana na mafuriko. 




Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete (mwenye kanzu) akiwa na wananchi wa jimbo hilo wakikagua `Bwawa la Umwangiliaji la Msoga. 




Sehemu ya bwawa la umwangiliaji la Msoga liloaribiwa na mafuriko na kupasua kingo za bwawa hilo.

Moja ya Nyumba iliyobomoka kutoka na mvua zinazoendelea kuonyesha katika eneo la Chalinze. 



Moja ya Nyumba iliyobomoka kutoka na mvua zinazoendelea kuonyesha katika eneo la Chalinze. 



Moja ya Nyumba iliyobomoka kutoka na mvua zinazoendelea kuonyesha katika eneo la Chalinze. 


Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete akisaini kitabu katika Ofisi za kijiji cha Msoga.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MAFURIKO YALETA MADHARA CHALINZE MZEE, MBUNGE KIKWETE AOMBA MSAADA
MAFURIKO YALETA MADHARA CHALINZE MZEE, MBUNGE KIKWETE AOMBA MSAADA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEifF7D3ABV0Zv5pQHrKhGXtdR4Lt6JCyvR6V_Fk0De4v0oJiC2ssIYeBhohRsapStCUHRP2i19e-Z9vP9eucFNqqm-kK0M7ENl8IwkL5feaT8nGwCa1a19o-e-CCrazz4RVhv7oziAaD7k/s640/290cc04d-df92-4296-a551-7ec2823e48f9.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEifF7D3ABV0Zv5pQHrKhGXtdR4Lt6JCyvR6V_Fk0De4v0oJiC2ssIYeBhohRsapStCUHRP2i19e-Z9vP9eucFNqqm-kK0M7ENl8IwkL5feaT8nGwCa1a19o-e-CCrazz4RVhv7oziAaD7k/s72-c/290cc04d-df92-4296-a551-7ec2823e48f9.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/04/mafuriko-yaleta-madhara-chalinze-mzee.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/04/mafuriko-yaleta-madhara-chalinze-mzee.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy