WAZIRI MHAGAMA AFUNGA MKUTANO WA 26 WA WANACHAMA NA WADAU WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF LEO
HomeJamii

WAZIRI MHAGAMA AFUNGA MKUTANO WA 26 WA WANACHAMA NA WADAU WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF LEO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Sera, Bunge, Vijana Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama, akitoa hotuba yake wakati akifunga Mkutano wa ...

CHUO CHA AFRICA GRADUATE UNIVERSITY CHAWATUNUKU PhD WANAOFANYA KAZI ZA JAMII NCHINI
PIKIPIKI ZALETA MAFANIKIO KATIKA SEKTA YA ELIMU.
SERIKALI IMESEMAINAFANYA JUHUDI ZA KUOKOA WATU 14 WALIOFUKIWA GEITA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Sera, Bunge, Vijana Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama, akitoa hotuba yake wakati akifunga Mkutano wa 26 wa mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko Pensheni wa PPF uliokuwa na kauli mbiu ya "Tanzania ya Viwanda, Umuhimu na Wajibu wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii", uliokuwa ukifanyika kwa siku mbili katika Ukumbi wa Simba uliopo ndani ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha AICC, Jijini Arusha.

Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, Dkt. Juma Malewa, akizungumza machache katika Mkutano wa 26 wa mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko Pensheni wa PPF uliokuwa na kauli mbiu ya "Tanzania ya Viwanda, Umuhimu na Wajibu wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii", uliokuwa ukifanyika kwa siku mbili katika Ukumbi wa Simba uliopo ndani ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha AICC, Jijini Arusha.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko Pensheni wa PPF, Ramadhan Khijjah akizungumza wakati akitoa shukrani wa viongozi na washiriki wengine wa Mkutano wa 26 wa mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko Pensheni wa PPF, uliokuwa ukifanyika kwa siku mbili katika Ukumbi wa Simba uliopo ndani ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha AICC, Jijini Arusha.

Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Daniel Gabriel Daqarro akichangia moja ya mada zilizowasilishwa katika Mkutano wa 26 wa mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko Pensheni wa PPF, uliokuwa ukifanyika kwa siku mbili katika Ukumbi wa Simba uliopo ndani ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha AICC, Jijini Arusha.

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko Pensheni wa PPF, William Erio akizungumza katika Mkutano wa 26 wa mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko Pensheni wa PPF, uliokuwa ukifanyika kwa siku mbili katika Ukumbi wa Simba uliopo ndani ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha AICC, Jijini Arusha.




Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Sera, Bunge, Vijana Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko Pensheni wa PPF, Ramadhan Khijjah wakati wakijadiliana jambo, katika Mkutano wa 26 wa mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko Pensheni wa PPF, uliokuwa ukifanyika kwa siku mbili katika Ukumbi wa Simba uliopo ndani ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha AICC, Jijini Arusha.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (TSSA), Meshack Bandawe akizungumza wakati alipowasilisha taarifa ya maendeleo ya mifuko mbalimbali, katika Mkutano wa 26 wa mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko Pensheni wa PPF, uliokuwa ukifanyika kwa siku mbili katika Ukumbi wa Simba uliopo ndani ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha AICC, Jijini Arusha.






































































































































































Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAZIRI MHAGAMA AFUNGA MKUTANO WA 26 WA WANACHAMA NA WADAU WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF LEO
WAZIRI MHAGAMA AFUNGA MKUTANO WA 26 WA WANACHAMA NA WADAU WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF LEO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjKbHlbbftn707b1_w0IdcHDKtW6SDCtJ7G0uQVQJ5sC1Iitn5fVlsL4ZnwJCX4jriq4fl0n25fsyi4DtESwpbJ0o0NsRUqVY7sK7mDQeaeszv_a_8foXZegsEzWZFruxH0sJ7ToCdmNkQ/s640/ot+pic-4350.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjKbHlbbftn707b1_w0IdcHDKtW6SDCtJ7G0uQVQJ5sC1Iitn5fVlsL4ZnwJCX4jriq4fl0n25fsyi4DtESwpbJ0o0NsRUqVY7sK7mDQeaeszv_a_8foXZegsEzWZFruxH0sJ7ToCdmNkQ/s72-c/ot+pic-4350.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/03/waziri-mhagama-afunga-mkutano-wa-26-wa.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/03/waziri-mhagama-afunga-mkutano-wa-26-wa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy