MAKAMISHNA WAPYA WA UHAMIAJI WAAPISHWA LEO MJINI DODOMA
HomeJamii

MAKAMISHNA WAPYA WA UHAMIAJI WAAPISHWA LEO MJINI DODOMA

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Peter Makakala ,akimvisha cheo kipya Kamishna wa Uhamiaji Utawala na Fedha, Edward Peter Cho...

OBASANJO WA NIGERIA AMWAGIA SIFA RAIS MAHUFULI
RASILIMALI YA TANZANIA: TAMBUA UMBALI WA VILELE VYA MILIMA
DK SEWANGI ''KAMUSI KUU HII IMEJAA UFASAHA WA HALI YA JUU''




Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Peter Makakala ,akimvisha cheo kipya Kamishna wa Uhamiaji Utawala na Fedha, Edward Peter Chogero katika hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma. Anayeshuhudia ni Naibu Kamishna wa Uhamiaji Chrispin Ngonyani. Tukio hili linehudhuriwa na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Meja Jenerali Projest Rwegasira na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Balozi Hassan Simba Yahaya. 



Kamishna mpya wa Uhamiaji Divisheni ya Sheria Hannerole Morgan Manyanga akila kiapo cha Utii mbele ya Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Peter Makakala katika hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma. Hafla hiyo imehudhuriwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Meja Jenerali Projest Rwegasira na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Balozi Hassan Simba Yahaya. 


Kamishna wa Tume ya Maadili ya Utumishi wa Umma , Jaji Mstaafu Harold Nsekela wa kwanza kushoto akiwaongoza Makamishna wapya wa Uhamiaji kuapa kiapo cha Maadili ya Viongozi wa Utumishi wa Umma baada ya Makamishna hao wapya kuvalishwa vyeo vipya katika hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma. 


Makamishna wapya wa Uhamiaji wakisaini Fomu za Maadili ya Viongozi wa Umma baada ya Makamishna hao kula kiapo cha Maadili ya Viongozi wa Utumishi wa Umma, katika hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma. 



Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Meja Jenerali Projest Rwegasira akizungumza jambo na Makamishna wapya wa Uhamiaji baada ya kumalizika shughuli ya kuapishwa Makamishna hao leo katika viwanja vya Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MAKAMISHNA WAPYA WA UHAMIAJI WAAPISHWA LEO MJINI DODOMA
MAKAMISHNA WAPYA WA UHAMIAJI WAAPISHWA LEO MJINI DODOMA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiikT4t42Ni4RecqN2JQEtvZf5-wWaasECYbYoWrVGwBEALLVa_x-VSYCzFkoWtVS_FuC-1zT8jiBr2rR5yZFsv9UuOWUy7djTSGp1ItS0u83Ub8I6TIdAAhgCFsImzeB_9dsCbbTOiwDw/s640/unnamed+%252879%2529.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiikT4t42Ni4RecqN2JQEtvZf5-wWaasECYbYoWrVGwBEALLVa_x-VSYCzFkoWtVS_FuC-1zT8jiBr2rR5yZFsv9UuOWUy7djTSGp1ItS0u83Ub8I6TIdAAhgCFsImzeB_9dsCbbTOiwDw/s72-c/unnamed+%252879%2529.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/03/makamishna-wapya-wa-uhamiaji-waapishwa.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/03/makamishna-wapya-wa-uhamiaji-waapishwa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy