WANACHAMA WA TANZANIA GIRL GUIDS WAFANYA USAFI MAGOMENI KOTA, COCO BEACH DAR
HomeJamii

WANACHAMA WA TANZANIA GIRL GUIDS WAFANYA USAFI MAGOMENI KOTA, COCO BEACH DAR

 Walimu na wanafunzi wa shule za Msimbazi na Mongo la ndege ambao ni wanachama wa chama cha Tanzania Girl Guids (TGGA), wakijitolea kufa...

DG WA PPF WILLIAM ERIO AUNGANA NA WAFANYAKAZI KUHUDUMIA WAWANACHAMA WA MFUKO, KATIKA KILELE CHA WIKI YA UTUMISHI KWA UMMA
MRITHI WA DKT. MDEGELA KKKT DAYOSISI YA IRINGA, MCHUNGAJI BLASTON GAVILE, KUWEKWA WAKFU JUMAPILI
WIZARA YA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO NA CHAMA CHA MAWAKALA WA FORODHA TANZANIA WAZINDUA RASMI KONGAMANO LA GLOBAL LOGISTICS SUMMIT –TANZANIA 2017

 Walimu na wanafunzi wa shule za Msimbazi na Mongo la ndege ambao ni wanachama wa chama cha Tanzania Girl Guids (TGGA), wakijitolea kufanya usafi katika viwanja vya Magomeni Kota, Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya shamra shamra ya maadhimisho ya wiki ya utoaji huduma kwa wahitaji.


Wanachama hao walioongozwa na Mwenyeikiti wa chama hicho, Profesa Martha Qorro pamoja na Katibu wa Taifa wa TGGA, Grace Shaba walifanya usafi katika viwanja vya Magomeni Kota na Ufukwe wa Coco.


Walimu na wanafunzi kutoka shule za Mugabe, Urafiki, Mongo la Ndege na Msimbazi ambao ni wanachama wa TGGA walishiriki ipasavyo kwenye usafi huo.


Pia baadhi ya wanachama wa TGGA walikwenda kutoa msaada wa vitu mbalimbali katika Kituo cha Taifa cha Yatima cha Kurasini, Dar es Salaam.


 PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG

 Wanafunzi wa Shule za Mugabe na Urafiki na walimu wao wakifanya usafi katika Ufukwe wa Coco Oysterbay, Dar es Salaam wakati wa kuadhimisha waiki hiyo ya utoaji huduma kwa wahitaji

 Wanachama wa TGGA wakifanya usafi katika viwanja vya Magomeni Kota

 Mwenyekiti wa TGGA, Profesa Martha Qorro (kushoto) na Juma Rashid wakiungana na wanachama wengine wa chama hicho kufanya usafi katika Ufukwe wa Coco, Oysterbay Dar es Salaam 

 Mwenyekiti wa TGGA, Profesa Martha Qorro (kushoto) na Juma Rashid wakiungana na wanachama wengine wa chama hicho kufanya usafi katika Ufukwe wa Coco, Oysterbay Dar es Salaam 

 Usafi ukiendelea katika viwanja vya Magomeni Kota. Katikati ni Raia wa Madagascar Andriambolamanana Vahatrimama ambaye yupo TGGA kujifunza utamaduni, maadili, mila za Tanzania pamoja na masuala ya uongozi







 Mwanachama wa Girl Guids kutoka Rwanda Michelline Uwiringiyimana (katikati), ambaye yupo nchi kwa ajili ya kujifunza utamaduni na maadi pamoja masuala ya uongozi, akishiriki kufanya usafi katika viwanja vya Magomeni Kota,

  Mwanachama wa Girl Guids kutoka Rwanda Michelline Uwiringiyimana (kulia), ambaye yupo nchi kwa ajili ya kujifunza utamaduni na maadi pamoja masuala ya uongozi, akishiriki kufanya usafi katika viwanja vya Magomeni Kota,

 Rehema (kulia) wa TGGA akiwa na wanafunzi wa shule ya sekondari Msimbazi wakifanya usafi Magomeni Kota

 Katibu wa Taifa wa TGGA, Grace Shaba akishiriki kufanya usafi katika viwanja vya Magomeni Kota, Dar es Salaam

  Katibu wa Taifa wa TGGA, Grace Shaba (kulia) akishiriki kufanya usafi katika viwanja vya Magomeni Kota, Dar es Salaam

 Wanafunzi wa shule za Mugabe na Urafiki wakishiriki kufanya usafi katika eneo la Coco

 Wanafunzi wa shule za Mugabe na Urafiki wakishiriki kufanya usafi katika eneo la Coco

 Wanafunzi wa shule za Mugabe na Urafiki wakishiriki kufanya usafi katika eneo la Coco





 Mwalimu wa shule ya Mugabe, Notceris Seus ambaye ni mwanachama wa TGGA akishiriki kufanya usafi katika ufukwe wa Coco,

 Mwalimu wa Shule ya Msingi Urafiki, Scolastica Mpunga akiungana na wanafunzi kufanya usafi katika ufukwe wa Coco


Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WANACHAMA WA TANZANIA GIRL GUIDS WAFANYA USAFI MAGOMENI KOTA, COCO BEACH DAR
WANACHAMA WA TANZANIA GIRL GUIDS WAFANYA USAFI MAGOMENI KOTA, COCO BEACH DAR
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg7fKrgPimKFU-LaCgMtEkdx2Rk93uL0lsRYcwbVRf_pJ4FFJjchsRpHQJo1OgYWhTRQ_rVfbvsBMoFYRf-S-X3CqvxhysEBKK7BnpuA_1QxBXsVn95kenXAcdtTZ7SQDjlfpSMrGu5jTg/s640/01.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg7fKrgPimKFU-LaCgMtEkdx2Rk93uL0lsRYcwbVRf_pJ4FFJjchsRpHQJo1OgYWhTRQ_rVfbvsBMoFYRf-S-X3CqvxhysEBKK7BnpuA_1QxBXsVn95kenXAcdtTZ7SQDjlfpSMrGu5jTg/s72-c/01.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/02/wanachama-wa-tanzania-girl-guids.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/02/wanachama-wa-tanzania-girl-guids.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy