KIWANJA CHA NDEGE CHA DODOMA, KUPOKEA NDEGE ZENYE UWEZO WA KUBEBA ABIRIA 90
HomeJamii

KIWANJA CHA NDEGE CHA DODOMA, KUPOKEA NDEGE ZENYE UWEZO WA KUBEBA ABIRIA 90

Kiwanja cha ndege cha Dodoma, sasa kinauwezo wa kupokea ndege zenye uwezo wa kubeba abiria 90, baada ya kurefushwa kwa barabara...

BALOZI WA POLAND NCHINI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KAMISHNA JENERALI WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI.
MAKAMU WA RAIS AJUMUIKA NA WATU MBALI MBALI MKOANI DODOMA WAKATI WA FUTARI
DSTV YAJA NA OFA KABAMBE YA KOMBE LA DUNIA, YAFUTURISHA SEHEMU YA WADAU WAKE DAR


Kiwanja cha ndege cha Dodoma, sasa kinauwezo wa kupokea ndege zenye uwezo wa kubeba abiria 90, baada ya kurefushwa kwa barabara ya kutua na kuruka kwa ndege kwa kilometa 2.5.

Ndege ya Shirika la ndege la Tanzania (ATCL), leo ikitua kwenye kiwanja cha ndege cha Dodoma ikitokea mkoani Kigoma.
Mizigo ya abiria wa ndege ya shirika la ndege Tanzania (ATCL), ikiwa ndani ya gari la kampuni inayotoa huduma ya mizigo ya National Aviation Services (NAS), kwenye Kiwanja cha ndege cha Dodoma.
Mkuu wa Dodoma (kushoto) Mhe. Jordan Rugimbana akielekea kupanda ya ATCL akiwa ni mmoja wa abiria akitokea kwenye Kiwanja cha ndege cha Dodoma na kuelekea Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA). Kulia ni Meneja wa kiwanja hicho, Bw. Julius Mlungwana.
Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Mhe. Jordan Rugimbana (kulia) akiagana na Meneja wa Kiwanja cha Ndege cha Dodoma, Bw. Julius Mlungwana kabla ya kupanda ndege ATCL, akielekea Jijini Dar es Salaam, leo.
Wanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya sekondari ya Uwela ya kitongoji cha Kikuyu mkoani Dodoma wakiwa katika ziara ya mafunzo kwenye Kiwanja cha ndege cha Dodoma, leo.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: KIWANJA CHA NDEGE CHA DODOMA, KUPOKEA NDEGE ZENYE UWEZO WA KUBEBA ABIRIA 90
KIWANJA CHA NDEGE CHA DODOMA, KUPOKEA NDEGE ZENYE UWEZO WA KUBEBA ABIRIA 90
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggkPIGYmBr0FkDSU876bQZ_BurxODI4MEDZQ4Ur4ultnYnC8Xlb2fKKkBOnUF9jE9862a8cQzhXMSXlJs5AOTtIWa7JbnMt30N8Wz4Fp-TmVb_l5N6ylpJvPbJcaQF18serwumCVufAy0/s640/1-74.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggkPIGYmBr0FkDSU876bQZ_BurxODI4MEDZQ4Ur4ultnYnC8Xlb2fKKkBOnUF9jE9862a8cQzhXMSXlJs5AOTtIWa7JbnMt30N8Wz4Fp-TmVb_l5N6ylpJvPbJcaQF18serwumCVufAy0/s72-c/1-74.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/02/kiwanja-cha-ndege-cha-dodoma-kupokea.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/02/kiwanja-cha-ndege-cha-dodoma-kupokea.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy