DKT. HASSAN ABBAS AWATAKA WANATASNIA YA HABARI KUFANYA KAZI KWA VITENDO NA KUWA WABUNIFU
HomeJamii

DKT. HASSAN ABBAS AWATAKA WANATASNIA YA HABARI KUFANYA KAZI KWA VITENDO NA KUWA WABUNIFU

 Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO Dkt. Hassan Abbasi akitangaza mkusanyiko huo kuwa mahafali ya 20 ya Chuo cha Uandishi wa...

JIANDIKISHE SASA USHIRIKI DASANI MARATHON 2017, INAYOFANYIKA MAY 14, 2017
HIZI NI SABABU ZA KUTUMIA MAWAKALA WA USAFIRI
DIWANI WA KATA YA BUZURUGA JIJINI MWANZA AONGOZA WAKAZI WA KATA HIYO KUADHIMISHA SIKU YA WAFANYAKAZI KATIKA KITUO CHA AFYA BUZURUGA


 Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO Dkt. Hassan Abbasi akitangaza mkusanyiko huo kuwa mahafali ya 20 ya Chuo cha Uandishi wa Habari Morogoro (MSJ) kulia ni Mkuu wa Chuo cha Uandishi wa Habari Morogoro (MSJ) Bw. Augustino Nongwe wakati wa mahafali ya 20 ya chuo leo Mjini Morogoro.
 
 Baadhi ya wahitimu wakiwa katika mahafali hayo.
 
 Mhitimu katika Chuo cha Uandishi wa Habari Morogoro (MSJ) Elias Eliakim akisoma risala kwa Mgeni rasmi ambaye ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO Dkt. Hassan Abbasi ambapo mbali na mambo mengine aliomba viongozi wa Serikali kuweka utaratibu wa kutembelea vyuo vya kati vya uandishi wa habari ili kujenga hamasa kwa wanafunzi.
 
 Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO Dkt. Hassan Abbasi akiongea na wahitimu wa Chuo cha Uandishi wa Habari Morogoro (MSJ) ambapo alisisitiza umuhimu wa wanatasnia ya habari kuwa watendaji na sio waongeaji bila vitendo ikiwa ni moja ya mkakati wa kuikuza tasnia hii na kuendana na Sheria mpya ya Huduma za Habari wakati wa mahafali ya 20 ya chuo leo Mjini Morogoro.
 Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO Dkt. Hassan Abbasi akiwapa vyeti vya uhitimu wa Diploma na cheti katika uandishi wa habari waliokuwa wanafunzi wa Chuo cha Uandishi wa Habari Morogoro (MSJ) 
Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO Dkt. Hassan Abbasi akiwa katika picha ya pamoja wahitimu,wafanyakazi wa Chuo cha Uandishi wa Habari Morogoro (MSJ) wakati wa mahafali ya 20 ya chuo leo Mjini Morogoro.
PICHA NA HASSAN SILAYO-MAELEZO.

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: DKT. HASSAN ABBAS AWATAKA WANATASNIA YA HABARI KUFANYA KAZI KWA VITENDO NA KUWA WABUNIFU
DKT. HASSAN ABBAS AWATAKA WANATASNIA YA HABARI KUFANYA KAZI KWA VITENDO NA KUWA WABUNIFU
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjjl-AYREtkozrbvUgdspiMs77uClSOWyV7aCPW9K96dsM3oJvSCDVw85gJM5SSu-uF7Ynj5LtnPb-nUZYmnSFi6qonyUEcTG7XPMGauziyD_YsKCvdkd3l-XhZ9pYFCeWwTmKLUGqkp10/s640/8.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjjl-AYREtkozrbvUgdspiMs77uClSOWyV7aCPW9K96dsM3oJvSCDVw85gJM5SSu-uF7Ynj5LtnPb-nUZYmnSFi6qonyUEcTG7XPMGauziyD_YsKCvdkd3l-XhZ9pYFCeWwTmKLUGqkp10/s72-c/8.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/02/dkt-hassan-abbas-awataka-wanatasnia-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/02/dkt-hassan-abbas-awataka-wanatasnia-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy