WENGI WAJITOKEZA KUMUAGA AMINA ATHUMAN DAR ES SALAAM
HomeJamii

WENGI WAJITOKEZA KUMUAGA AMINA ATHUMAN DAR ES SALAAM

 Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mwandishi wa Habari za Michezo wa Gazeti la Uhuru, Amina Athuman  w...

JARIDA LA WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
ORODHA YA MAJINA YA WATUMISHI WA UMMA WANAODAIWA KUWA NA VYETI VYA KUGHUSHI 'FEKI' HAWA HAPA
RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA JUMAPIL MJINI MOSHI


 Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mwandishi wa Habari za Michezo wa Gazeti la Uhuru, Amina Athuman  walipokuwa wakioutoa nyumbani kwake Banana, Dar es Salaam leo, kuliingiza kwenye gari tayari kusafirishwa kwenda nyumbani kwao Lushoto kwa mazishi. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
 Mwili wa aliyekuwa Mwandishi wa Habari za Michezo wa Gazeti la Uhuru, marehemu  Amina Athumani ukiombewa dua nyumbani kwake, Banana, Ukonga.
 Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania, Juma Pinto (kushoto) akimzungumzia marehemu Amina kuhusu uchapakazi wake enzi za uhai wake
 Baadhi ya waombolezaji wakiwemo wanahabari wakiwa eneo la msiba nyumbani kwa marehemu Amina Athuman, Banana, Ukonga Dar es Salaam
 Mwili ukpelekwa kwenye gari

 Mhariri Msanifu Mkuu wa Gazeti la Jambo Leo, ambaye kabla ya kujiunga na gazeti hilo alikuwa Mhariri Mtendaji wa gazeti la Uhuru,Joseph Kulangwa (kushoto), na Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania, Juma Pinto wakiwa na huzuni wakati jeneza lenye mwili wa Amina Athuma likitolewa ndani tayari kusafirishwa kwenda Lushoto.
 Mgane wa marehemu Amina, Towfiq Majaliwa
 Ndugu wa marehemu
 Kiongozi wa kundi la wasapu la Waandishi wa Habari za Michezo Innocent Okamwa (kulia) akimkabidhi Baba mkubwa wa marehemu Amina Athuman, Athuman Kazukamwe mchango wa rambirambi sh. 600,000 zilizochangwa na wanahabari wa kundi hilo.Katikati ni mwanachama wa kundi hilo, Somoye Ng'itu.
 Kazukamwe akitoa shukrani kwa mchango huo

 Sehemu ya waombolezaji
 Mgane wa marehemu Amina, Towfiq Majaliwa akifarijiwa na Naibu Mhariri Mtendaji wa gazeti la Uhuru
Wanahabari wakiwa na huzuni
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WENGI WAJITOKEZA KUMUAGA AMINA ATHUMAN DAR ES SALAAM
WENGI WAJITOKEZA KUMUAGA AMINA ATHUMAN DAR ES SALAAM
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhF4KZOzhiIm5rTE-7SV5tF5F0ldDCbet0SzwlV3tHh5qX9Vb4v2cAbt8jxU5y4v4xYmE5JItVc3ciLjZtKTxsoXjXJyE0W-R5rvaCGKSwy-ItnH8ZSflPxUZaTtwceG_zq0AuU1uzwEv4/s640/01.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhF4KZOzhiIm5rTE-7SV5tF5F0ldDCbet0SzwlV3tHh5qX9Vb4v2cAbt8jxU5y4v4xYmE5JItVc3ciLjZtKTxsoXjXJyE0W-R5rvaCGKSwy-ItnH8ZSflPxUZaTtwceG_zq0AuU1uzwEv4/s72-c/01.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/01/wengi-wajitokeza-kumuaga-amina-athuman.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/01/wengi-wajitokeza-kumuaga-amina-athuman.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy