NEC YATOLEA UFAFANUZI TAARIFA ZA UPOTOSHAJI MATOKEO UCHAGUZI MDOGO WA JIMBO LA DIMANI –ZANZIBAR.
HomeSiasa

NEC YATOLEA UFAFANUZI TAARIFA ZA UPOTOSHAJI MATOKEO UCHAGUZI MDOGO WA JIMBO LA DIMANI –ZANZIBAR.

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Ramadhan Kailima Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeeleza  kuwa ...

UTEUZI WA MADIWANI 12 WANAWAKE WA VITI MAALUM
UVCCM YASIFU UTEKELEZWAJI WA ILANI YA UCHAGUZI PEMBA
UVCCM YALAANI UBAGUZI MISIKITINI PEMBA


Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Ramadhan Kailima

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeeleza  kuwa Kura 234 ziliharibika katika Uchaguzi mdogo wa Ubunge katika jimbo la Dimani, Zanzibar Januari 22, 2017.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Ramadhan Kailima amesema kuwa Wapiga Kura walioandikishwa katika jimbo la Dimani, Zanzibar ni 9,275.
Amesema kati ya hao wapiga Kura 6,406 walijitokeza kupiga Kura siku hiyo ambapo Kura halali zilikuwa 6,172 na Kura zilizoharibika zilikuwa 234.
“Napenda kuwafahamisha wananchi wote kuwa taarifa sahihi za matokeo ya Kura katika Uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Dimani ni kama ifuatavyo; Wapiga Kura walioandikishwa jimbo la Dimani ni 9,275, Waliopiga Kura walikuwa 6,406, Kura halali 6,172 na Kura zilizoharibika ni 234” Amesisitiza.
Mkurugenzi Kailima ameeleza kuwa katika Uchaguzi huo vyama 11 vilikuwa na wagombea wa Ubunge ambapo Chama cha ACT-Wazalendo kilipata Kura 8, Chama cha ADC Kura 42, Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kura 4860, CHAUMA Kura 10, Chama Cha Wananchi CUF Kura 1234, Chama cha DP Kura 8.
Vingine ni Chama cha NRA kura 1, SAU Kura 4, TLP kura 2, Chama Cha UMD Kura 2 na Chama Cha UPDP Kura 1 na kufanya jumla ya Kura za Vyama vyote kuwa 6172.

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: NEC YATOLEA UFAFANUZI TAARIFA ZA UPOTOSHAJI MATOKEO UCHAGUZI MDOGO WA JIMBO LA DIMANI –ZANZIBAR.
NEC YATOLEA UFAFANUZI TAARIFA ZA UPOTOSHAJI MATOKEO UCHAGUZI MDOGO WA JIMBO LA DIMANI –ZANZIBAR.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiDjD_-XWdbRUdmV90VA5GBxXzr1Lg7saFhid6px5dxwJrxk2MKcQth42urXXg_8MPozf3kdZSQ5SOXlAOHMtD90oXEADnMgyMYMFaCP9oCSjI95fZZ-zSSfKBh6Hgd-t_iyZCOPZaprO6G/s640/PIX-2-1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiDjD_-XWdbRUdmV90VA5GBxXzr1Lg7saFhid6px5dxwJrxk2MKcQth42urXXg_8MPozf3kdZSQ5SOXlAOHMtD90oXEADnMgyMYMFaCP9oCSjI95fZZ-zSSfKBh6Hgd-t_iyZCOPZaprO6G/s72-c/PIX-2-1.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/01/nec-yatolea-ufafanuzi-taarifa-za.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/01/nec-yatolea-ufafanuzi-taarifa-za.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy