BARAZA LA MADIWANI LAMFUKUZA KAZI MTUMISHI

Na. Immaculate Makilika - MAELEZO BARAZA la Madiwani ya Halmashauri ya Mji wa Bunda limemfukuza  kazi  Bw. Eliud Haonga aliyeku...



Na. Immaculate Makilika - MAELEZO

BARAZA la Madiwani ya Halmashauri ya Mji wa Bunda limemfukuza  kazi  Bw. Eliud Haonga aliyekuwa mtumishi wa Idara ya Ardhi na Mipango  na Mthamini  daraja la pili mapema wiki hii, baada ya kughushi nyaraka ili kujipatia fedha za malipo ya pango.

Bw. Haonga alipokea fedha za malipo ya pango kiasi cha shilingi milioni saba kutoka kiwanda cha OLAM Tanzania mwezi Juni mwaka huu.

Akizungumza kwa njia ya simu,  Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda, Mkoa wa Mara, Bi. Janeth Mayanja alisema kuwa Bw. Haonga amekiuka Sheria za Utumishi wa Umma, kanuni ya 42 na uamuzi uliotolewa na baraza la madiwani  ni sahihi.

Bi. Janeth alisema “Bw. Eliud Haonga alihifadhi shilingi milioni mbili tu katika akaunti ya Halmashauri ya Mji wa Bunda  na kutumia shilingi milioni tano kwa matumizi yake binafsi”.“Maamuzi haya yamechukuliwa baada ya Kamati ya Uchunguzi  kumaliza kazi yake kwa mujibu wa  Sheria, kanuni na taratibu za Utumishi wa Umma.” alisema  Bi. Mayanja.

Aidha,  Bi. Mayanja amewaasa watumishi wa Halmashauri  Bunda  kujiepusha na vitendo vinavyoashiria wizi na ubadhirifu,  na hatua kali  zitachukuliwa kwa yeyote atakayekiuka maadili ya utumishi wa umma.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda, mkoa wa Mara Bi. Janeth
Mayanja akiwa Ofisini kwake.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: BARAZA LA MADIWANI LAMFUKUZA KAZI MTUMISHI
BARAZA LA MADIWANI LAMFUKUZA KAZI MTUMISHI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhRLPmx2a0tbxeFNlww_ud3eT1d5KZrJuZxp5qvnUyY6PiBGEpNknCmwU2YkoFNRU8GO-s2BaJymdqJJYlaTdArBQf68OpGWdGMr3tWG1lTjlg4I-W5fSAy0Qg05p5yOVEp1OiL3s5hEicm/s640/unnamed+%25282%2529.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhRLPmx2a0tbxeFNlww_ud3eT1d5KZrJuZxp5qvnUyY6PiBGEpNknCmwU2YkoFNRU8GO-s2BaJymdqJJYlaTdArBQf68OpGWdGMr3tWG1lTjlg4I-W5fSAy0Qg05p5yOVEp1OiL3s5hEicm/s72-c/unnamed+%25282%2529.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/11/baraza-la-madiwani-lamfukuza-kazi.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/11/baraza-la-madiwani-lamfukuza-kazi.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy