TANZANIA KUWA MWENYEJI WA KONGAMANO LA NISHATI AFRIKA
HomeSlide

TANZANIA KUWA MWENYEJI WA KONGAMANO LA NISHATI AFRIKA

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ( wa nne kutoka kulia) katika picha ya pamoja na wawakilishi kutoka...

USIKOSE KUTAZAMA KIPINDI CHA MUSWADA WA HABARI NA TANZANIA IJAYO
'NILIAHIDI, NIMETIMIZA, NITAENDELEA KUTIMIZA' - RAIS JOHN POMBE MAGUFULI
AFANDE SELE AIBUKIA MSAFARA WA MAKAMU WA RAIS, MH SAMIA



TANZANIA KUWA MWENYEJI WA KONGAMANO LA NISHATI AFRIKA
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ( wa nne kutoka kulia) katika picha ya pamoja na wawakilishi kutoka Benki ya Maendeleo  ya  Afrika (AfDB), Ubalozi wa  Sweden na Shirika la Maendeleo  la  Umoja wa Mataifa (UNDP).
 

Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Kongamano litakalokutanisha nchi mbalimbali za Afrika kwa ajili ya kujadili na kubadilishana uzoefu katika masuala ya Nishati linalotarajiwa kufanyika Aprili mwaka 2017. Hayo yameelezwa na Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo alipofanya kikao na wawakilishi kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Kampuni ya Uendelezaji wa Jotoardhi Tanzania (TGDC) Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Ubalozi wa Sweden na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP).
 Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kushoto) akiongoza kikao kilichokutanisha wawakilishi kutoka kutoka Wizara ya Nishati na Madini,  Benki ya Maendeleo  ya  Afrika (AfDB), Ubalozi wa  Sweden na Shirika la Maendeleo  la  Umoja wa Mataifa (UNDP). Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa  Nishati na Madini anayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe.
 Wawakilishi kutoka Benki ya Maendeleo  ya  Afrika (AfDB), Ubalozi wa  Sweden na Shirika la Maendeleo  la  Umoja wa Mataifa (UNDP), wakifuatilia maelezo  yaliyokuwa yanatolewa na  Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (hayupo pichani) katika kikao hicho.
 Wawakilishi kutoka Wizara ya Nishati na Madini na Kampuni ya Uendelezaji wa Jotoardhi Tanzania (TGDC) wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yanatolewa na Mkurugenzi Mkazi wa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Awa Dabo (hayupo pichani) katika kikao hicho.
Mkurugenzi Mkazi wa na Shirika la Maendeleo  la  Umoja wa Mataifa (UNDP), Awa Dabo akisisitiza  jambo katika kikao hicho.


 Mkurugenzi Mkazi wa  Shirika la Maendeleo  la  Umoja wa Mataifa (UNDP), Awa Dabo akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi ya  Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: TANZANIA KUWA MWENYEJI WA KONGAMANO LA NISHATI AFRIKA
TANZANIA KUWA MWENYEJI WA KONGAMANO LA NISHATI AFRIKA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi70P4A_3Ka-CbGV8NwILq9eHY3BLT1Y6wUSJI1t32wh2xKboFgV1K7ujObWjxIFQ9ZRKjondARtppEQh97U7mIVZQwn5SMsRzUYvlPkiO7HENfmLu3657u135u4O-bXrrDh690wQjhb8I/s640/Picha+Na+6.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi70P4A_3Ka-CbGV8NwILq9eHY3BLT1Y6wUSJI1t32wh2xKboFgV1K7ujObWjxIFQ9ZRKjondARtppEQh97U7mIVZQwn5SMsRzUYvlPkiO7HENfmLu3657u135u4O-bXrrDh690wQjhb8I/s72-c/Picha+Na+6.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/10/tanzania-kuwa-mwenyeji-wa-kongamano-la.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/10/tanzania-kuwa-mwenyeji-wa-kongamano-la.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy