WATUHUMIWA WALIOUA MSIKITINI MWANZA NA KULE MAPANGO YA AMBONI NAO WAUAWA; WALIJARIBU KUWARUSHIA MABOMU POLISI JIJINI DAR

  Kaanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Siro, akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari kw...





  Kaanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Siro, akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari kwenye kituo kikuu cha kati cha Polisi jijini Dar es Salaam leo Juni 27, 2017 huku akionyesha bomulakurusha kwa mkono (Hand Grenade) alilokutwa nalo mtuhumiwa wa mauaji ya msikitini jijiniMwanza hivi Karibuni. Kamanda Siro alisema, mtuhumiwa huyo ameuawa wakati polisi walipokuwa wakijaribu kumkamata nyumbani kwake huko Chamazi nje kidogo ya jiji, baada ya kujaribu kuwatupia bomu askari. (PICHA NA RASHID ZUBERI)
 
 Bomu alilokutwa nalo mtuhumiwa wa mauaji ya msikitini jijini Mwanza. Mtuhumiwa alikutwa huko Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam leo asubuhi nyumbani kwake Juni 27, 2017
 Bomu, bastola na risasi, zilizokamatwa na polisi wakati wa purukushani ya kumtia mbaroni mtuhumiwa wa mauaji ya waumini wa dini ya Kiislamu jijini Mwanza hivi karibuni. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Siro, watuhumiwa wawili akiwemo pia aliyesababisha mauaji huko jirani na mapangoya Amboni mkoaniTanga wameuawa katika majibizano ya risasi na polisi.
 Kaanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Siro, akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari kwenye kituo kikuu cha kati cha Polisi jijini Dar es Salaam leo Juni 27, 2017
Bomu, bastola na risasi, zilizokamatwa na polisi wakati wa purukushani ya kumtia mbaroni mtuhumiwa wa mauaji yawaumini wa dini ya Kiislamu jijini Mwanza hivi karibuni. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Siro, watuhumiwa wawili akiwemo pia aliyesababisha mauaji huko

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WATUHUMIWA WALIOUA MSIKITINI MWANZA NA KULE MAPANGO YA AMBONI NAO WAUAWA; WALIJARIBU KUWARUSHIA MABOMU POLISI JIJINI DAR
WATUHUMIWA WALIOUA MSIKITINI MWANZA NA KULE MAPANGO YA AMBONI NAO WAUAWA; WALIJARIBU KUWARUSHIA MABOMU POLISI JIJINI DAR
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiXQPJ_0JT26Z5nTSC94GzfnOI-DqKNNbuH7pwIiSNPKPhGCbKXLOE38ruO2b91yxD-MWksxF5OCEFiUOHr31lqH4qvHOQM9M_PdH56jSN64Agpc9f1Snp2wqHeglWEomrmZidsOV0q89E/s640/S-SIRO.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiXQPJ_0JT26Z5nTSC94GzfnOI-DqKNNbuH7pwIiSNPKPhGCbKXLOE38ruO2b91yxD-MWksxF5OCEFiUOHr31lqH4qvHOQM9M_PdH56jSN64Agpc9f1Snp2wqHeglWEomrmZidsOV0q89E/s72-c/S-SIRO.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/06/watuhumiwa-walioua-msikitini-mwanza-na.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/06/watuhumiwa-walioua-msikitini-mwanza-na.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy