VYANZO VYA MAJI VYATAKIWA VILINDWE: SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI

Mkuu wa wilaya ya Arumeru,Wilson Nkambaku aliyemwakilisha Mkuu wa mkoa wa Arusha akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya ...










Mkuu wa wilaya ya Arumeru,Wilson Nkambaku aliyemwakilisha Mkuu wa mkoa wa Arusha akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Mazingira duniani ambayo kimkoa yamefanyika leo katika Shule ya Msingi Kiranyi.Ameagiza wananchi wote walijenga kwenye eneo lilitengwa kwaajili ya chanzo cha maji wabomoe wenyewe. 
Mtendaji Mkuu wa Mamkala ya Mji Mdogo wa Ngaramtoni,Sophia Shoko akizungumza jambo katika maadhimisho hayo. 
Diwani wa Kata ya Kiranyi ,halmashauri ya wilaya Arusha DC,John Seneu alikiwataka wananchi kutii sheria ili kulinda vyanzo vya maji. 
Mkuu wa wilaya ya Arumeru,Wilson Nkambaku(katikati) aliyemwakilisha Mkuu wa mkoa wa Arusha akifurahia jambo na Katibu Tawala mkoa(RAS),Richard Kwitega(kulia) kushoto Katibu Tawala Msaidizi huduma za Afya,Hargeney Chitukulo. 
Wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Serikali ya mchepuo wa Kiingereza ya Arusha School wakiimba Shairi lao lenye kuhamasisha utunzaji wa mazingira na kupanda miti. 
Baadhi ya viongozi kutoka halmashauri ya Arusha DC wakisikiliza kwa makini hotuba ya Mkuu wa wilaya. 
Baadhi ya viongozi kutoka maeneo mbalimbali ya mkoa wa Arusha wadau wa taasisi binafsi na wananchi kwa pamoja wameshiriki kikamilifu Siku ya mazingira duniani. 
Baadhi ya mabalozi wa taasisi ya vijana wa Umoja wa Mataifa(UN)walioshiriki maadhimisho hayo katika Shule ya Msingi Kiranyi. 
Katibu Tawala(RAS)mkoa wa Arusha,Richard Kwitega akipanda mti katika maadhimisho ya siku ya mazingira leo. 
Mrembo Morine Ayub Mollel ambaye ameshinda taji la Miss Arusha akipanda mti kwenye bustani ya Shule ya Msingi Kiranyi. 

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: VYANZO VYA MAJI VYATAKIWA VILINDWE: SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI
VYANZO VYA MAJI VYATAKIWA VILINDWE: SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhgCzkDfZ227hwrQTjOTkEc1rDEP3v2PLWjCOPVwMHjDNPlsAW30btxfdMo40zqwZMeUGwL90BPWo2L6lI_hX-jnUXtTM04gKJ_NAq2yY2Oy6-Ze0zCF8lzws4n8t4KhYjs-FFbudwVp-yl/s640/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhgCzkDfZ227hwrQTjOTkEc1rDEP3v2PLWjCOPVwMHjDNPlsAW30btxfdMo40zqwZMeUGwL90BPWo2L6lI_hX-jnUXtTM04gKJ_NAq2yY2Oy6-Ze0zCF8lzws4n8t4KhYjs-FFbudwVp-yl/s72-c/1.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/06/vyanzo-vya-maji-vyatakiwa-vilindwe-siku.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/06/vyanzo-vya-maji-vyatakiwa-vilindwe-siku.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy