Meneja Mkuu wa BMTL, Deepak Kumar Khara akizungumza wakati wa hafla ya utambulisho wa bidhaa mpya za kampuni hiyo. Baadhi y...
Meneja Mkuu wa BMTL, Deepak Kumar Khara akizungumza wakati wa hafla ya utambulisho wa bidhaa mpya za kampuni hiyo.
Baadhi ya wageni waalikwa.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya BMTL, Mike Holtham akizungumza wakati hafla ya utambulisho wa bidhaa zao mpya za mashine za kisasa za kuhesabu fedha na makasha maalum ya kuhifadhia fedha.
Mashine za kisasa za kuhesabia fedha.
Mashine za kisasa za kuhesabu fedha.
Baadhi ya mashine za kisasa za kuhesabia hela.
Makasha maalum ya kuhifadhia fedha.
Wasanii wakitumbuiza katika hafla hiyo.
Leyla akimtangaza mshindi wa bahati nasibu.
Mshindi aliyejishindia zawadi za bidhaa zenye thamani ya sh. 500,000, Sravan Kumar (kulia) akipokea zawadi yake kutoka kwa Mkuu wa Mauzo, Avais Ansari.
Agatha Bugomola akipokea zawadi yake kutoka kwa Mkuu wa Mauzo, Avais Ansari.
Mhandisi wa Kampuni ya Business Machines Tanzania Ltd (BMTL),
Salum Nyambe akitoa maelezo kuhusiana na mashine za kisasa za kuhesabu fedha pamoja na teknolojia mpya ya kudhibiti wahalifu ikiwemo kutuma fedha
bila kwenda benki. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.
Salum Nyambe akitoa maelezo kuhusiana na mashine za kisasa za kuhesabu fedha pamoja na teknolojia mpya ya kudhibiti wahalifu ikiwemo kutuma fedha
bila kwenda benki. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.
Mhandisi wa Kampuni ya Business Machines Tanzania Ltd (BMTL),
Salum Nyambe (kulia) akionyesha mashine za kisasa za kuhesabu fedha wakatikampuni
hiyo ilipotambulisha teknolojia mpya ya kudhibiti wahalifu ikiwemo kutuma fedha
bila kwenda benki. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.
Mashine za kisasa za kuhgesabia sarafu.
Mhasibu Mkuu wa Kampuni ya BMTL, Zakarioa Kijula akizungumza na waandishi habari wakati wa hafla ya
Makasha ya kuhifadhia fedha.
Meneja Maendeleo Biashara Mashariki ya Kati wa Kampuni ya Glory Global Solution, Joop Schouten (kulia) akiwa na Mhandisi Kamau Thuo.
Mkuu wa Mauzo, Avais Ansari wa BMTL akitoa maelezo kuhusu mashine hizo kwa wageni waliofika katika hafla hiyo.
Mkuu wa Mauzo, Avais Ansari wa BMTL akitoa maelezo kuhusu mashine hizo kwa wageni waliofika katika hafla hiyo.

COMMENTS