KINANA AANZA ZIARA WILAYA YA NYASA MKOA WA RUVUMA, AONYESHA ENZI ZAKE ZA KUCHEZA SOKA Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman ...
KINANA AANZA ZIARA WILAYA YA NYASA MKOA WA RUVUMA, AONYESHA ENZI ZAKE ZA KUCHEZA SOKA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipiga mpira kama ishara ya ufunguzi wa mechi kati ya timu za mpira za wanawake Kilosa na Mbamba bay.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimia wananchi wa kijiji
cha Rudisha baada ya kumsimamisha na kumtaka asalimiane wananchi.
Ujumbe unaomtaka Katibu Mkuu wa CCM Ndugu asimame kwenye kijiji cha Maganagana japo wamsalimi.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na wananchi wa kijiji cha Makatani wakati akielekea wilaya mpya ya Nyasa.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Luhangarasi wilaya mpya ya Nyasa.
Katibu
wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk.Asha-Rose Migiro
akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Luhangarasi wilaya mpya ya Nyasa.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kubeba matofali kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya Kata ya Luhangarasi.
Wanachama
wa shina namba 1 kwa Balozi Joseph Nduguru tawi la Luhangarasi wilaya
ya Nyasa wakicheza kwa furaha wakati wa kumaribisha Katibu Mkuu wa CCM
Ndugu Abdulrahman Kinana.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi wa kata ya Kingerikiti wilaya ya Nyasa.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza baada ya kuweka jiwe
la msingi la ofisi ya CCM wilaya ya Nyasa kulia ni Mbunge wa Mbinga
Kapteni Jonh Komba.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wachezaji wa Timu
ya Kilosa wakati wa ukaguzi,timu ya Kilosa ilicheza mechi ya kujipima
nguvu na timu ya Mbamba Bay.
Mbunge wa Mbunge wa Mbinga Magharibi Ndugu Kapteni John Komba akihutubia wananchi kwenye viwanja vya michezo Mbamba bay.
IF TANZANIA ELECTIONS WERE HELD TODAY: WHO WOULD YOU VOTE FOR? WHO WOULD YOU ADD TO THIS LIST?
The Next Tanzania's General Elections
are almost two years away. To be exact, Tanzanians [registered voters
of course] will be on hopeful long ques in October 2015 to elect the
next President of The United Republic and Members Of Parliament.In a
country where almost everything is attached to politics, that is an
important month and year.
While two years seems to be such a long stretch, in politics days are
counted differently. 365 days could as well mean 65. They say politics
is a sneaky game. You need to be prepared, you need to know yourself and
your potential opponents way ahead. That, of course, makes politics
take the title of a dirty game as well. Before you realize, the streets
knows you as Mr.Inappropriate. Your lights are punched out and all you
can see is darkness. You are no longer in control.
The scene of dirty games and dirty wars I am trying to explain above is
already on. If you are not aware please raise your hands up and better
be in a don't shoot pose because I know you are not telling me the
truth. I believe you have heard how some politicians are already
exchanging words[ in a war-like styles] whenever they get a chance or
whenever they see cameras flashing and microphones are set. They aren't
telling jokes. They mean it. Holly! They love the attention.
Now,we live in a different era. Nowadays, you can easily tell what is in
someone's mind just from their status posted on their pages over social
network platforms. You can see excitement, anger, frustrations,
jealousy, hopelessness, craziness from those lines. You just gotta
master the art of reading between the lines. Few people and certainly
few politicians are going to survive against the power of social
networks. You gotta be a social lion to survive or completely avoid to
expose your true feelings and arguably your "agenda". The ugly part is;
if you are a politician and you are not on social networks, your chances
are cut in half or unless if the office you are aiming is just Mjumbe
wa Nyumba Kumi Kumi. In that case, all you need is ability to walk and
drink evening tea with watu wako wa kitaa.
Given some of the factors I am talking about above [political jabs, war
of words, social networks expose etc] it has become a bit easier [ I
said a bit easier because please never underestimate a Politician] to do
some guess work on our politicians' [they want to be called
Waheshimiwa] next move or the office and position they are aiming for. I
could be wrong and I could be damn right!
Long story short, the men and women[ sorry a woman] whose photos appear
above, are mentioned [and some have openly mentioned themselves] to be
potential Presidential Candidates for Tanzania's next General Elections
come October 2015. And honestly speaking, given their credentials and
experiences [good and bad] and the nature of our politics or political
system, anyone can the next man/woman who keeps you in "foleni" for
hours because he/she is going "out".[You know]
The list above is not final. It can change anytime. Politicians are
known to attract scandals too. So we may wake up the day after tomorrow
and hear some rape charges or sale of national treasure and boom,some
dreams are shattered. Who do you think we missed in the list?[that's why
we left rooms] And most important question; Who would you vote for if elections were held today? Your opinion matters.Speak!
Jeff Msangi is a Writer/Blogger and Owner of www.bongocelebrity.com. You can reach him at bongocelebrity at gmail dot
COMMENTS