KINANA AANZA ZIARA WILAYA YA NYASA MKOA WA RUVUMA, AONYESHA ENZI ZAKE ZA KUCHEZA SOKA ALIVYOKUWA MKALII!!!!!

KINANA AANZA ZIARA WILAYA YA NYASA MKOA WA RUVUMA, AONYESHA ENZI ZAKE ZA KUCHEZA SOKA Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman ...


KINANA AANZA ZIARA WILAYA YA NYASA MKOA WA RUVUMA, AONYESHA ENZI ZAKE ZA KUCHEZA SOKA

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipiga mpira kama ishara ya ufunguzi wa mechi kati ya timu za mpira za wanawake Kilosa na Mbamba bay.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Rudisha baada ya kumsimamisha na kumtaka asalimiane wananchi.
 
 Ujumbe unaomtaka Katibu Mkuu wa CCM Ndugu asimame kwenye kijiji cha Maganagana japo wamsalimi.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na wananchi wa kijiji cha Makatani wakati akielekea wilaya mpya ya Nyasa.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Luhangarasi  wilaya mpya ya Nyasa.
 Katibu wa NEC  Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk.Asha-Rose Migiro akiwasalimia  wananchi wa kijiji cha Luhangarasi wilaya mpya ya Nyasa.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kubeba  matofali kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya Kata ya Luhangarasi.
 Wanachama  wa shina namba 1 kwa Balozi Joseph Nduguru tawi la Luhangarasi wilaya ya Nyasa wakicheza kwa furaha wakati wa kumaribisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi wa kata ya Kingerikiti wilaya ya Nyasa.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza baada ya kuweka jiwe la msingi la ofisi ya CCM  wilaya ya Nyasa kulia ni Mbunge wa Mbinga Kapteni Jonh Komba.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wachezaji wa Timu ya Kilosa wakati wa  ukaguzi,timu ya Kilosa ilicheza mechi ya kujipima nguvu na timu ya Mbamba Bay.

Mbunge wa Mbunge wa Mbinga Magharibi Ndugu Kapteni John Komba akihutubia wananchi kwenye viwanja vya michezo Mbamba bay.

IF TANZANIA ELECTIONS WERE HELD TODAY: WHO WOULD YOU VOTE FOR? WHO WOULD YOU ADD TO THIS LIST?

Urais Tanzania 2015.jpg The Next Tanzania's General Elections are almost two years away. To be exact, Tanzanians [registered voters of course] will be on hopeful long ques in October 2015 to elect the next President of The United Republic and Members Of Parliament.In a country where almost everything is attached to politics, that is an important month and year. While two years seems to be such a long stretch, in politics days are counted differently. 365 days could as well mean 65. They say politics is a sneaky game. You need to be prepared, you need to know yourself and your potential opponents way ahead. That, of course, makes politics take the title of a dirty game as well. Before you realize, the streets knows you as Mr.Inappropriate. Your lights are punched out and all you can see is darkness. You are no longer in control. The scene of dirty games and dirty wars I am trying to explain above is already on. If you are not aware please raise your hands up and better be in a don't shoot pose because I know you are not telling me the truth. I believe you have heard how some politicians are already exchanging words[ in a war-like styles] whenever they get a chance or whenever they see cameras flashing and microphones are set. They aren't telling jokes. They mean it. Holly! They love the attention. Now,we live in a different era. Nowadays, you can easily tell what is in someone's mind just from their status posted on their pages over social network platforms. You can see excitement, anger, frustrations, jealousy, hopelessness, craziness from those lines. You just gotta master the art of reading between the lines. Few people and certainly few politicians are going to survive against the power of social networks. You gotta be a social lion to survive or completely avoid to expose your true feelings and arguably your "agenda". The ugly part is; if you are a politician and you are not on social networks, your chances are cut in half or unless if the office you are aiming is just Mjumbe wa Nyumba Kumi Kumi. In that case, all you need is ability to walk and drink evening tea with watu wako wa kitaa. Given some of the factors I am talking about above [political jabs, war of words, social networks expose etc] it has become a bit easier [ I said a bit easier because please never underestimate a Politician] to do some guess work on our politicians' [they want to be called Waheshimiwa] next move or the office and position they are aiming for. I could be wrong and I could be damn right! Long story short, the men and women[ sorry a woman] whose photos appear above, are mentioned [and some have openly mentioned themselves] to be potential Presidential Candidates for Tanzania's next General Elections come October 2015. And honestly speaking, given their credentials and experiences [good and bad] and the nature of our politics or political system, anyone can the next man/woman who keeps you in "foleni" for hours because he/she is going "out".[You know] The list above is not final. It can change anytime. Politicians are known to attract scandals too. So we may wake up the day after tomorrow and hear some rape charges or sale of national treasure and boom,some dreams are shattered. Who do you think we missed in the list?[that's why we left rooms] And most important question; Who would you vote for if elections were held today? Your opinion matters.Speak! Jeff Msangi is a Writer/Blogger and Owner of www.bongocelebrity.com. You can reach him at bongocelebrity at gmail dot

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: KINANA AANZA ZIARA WILAYA YA NYASA MKOA WA RUVUMA, AONYESHA ENZI ZAKE ZA KUCHEZA SOKA ALIVYOKUWA MKALII!!!!!
KINANA AANZA ZIARA WILAYA YA NYASA MKOA WA RUVUMA, AONYESHA ENZI ZAKE ZA KUCHEZA SOKA ALIVYOKUWA MKALII!!!!!
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhvj8cdi3UXv_nuEJeV3jRSzxfPSrD0VGzjzSL52uywbZeNQb1at7osw8QdHu8dRLChUYiCHrzhyD6GhpcN_tkf8___kNiEJW0CCI7ZZrILhvPvj9GxyU-O2dlx-haCCAWXVR2ZZGzfoQW6/s640/28.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhvj8cdi3UXv_nuEJeV3jRSzxfPSrD0VGzjzSL52uywbZeNQb1at7osw8QdHu8dRLChUYiCHrzhyD6GhpcN_tkf8___kNiEJW0CCI7ZZrILhvPvj9GxyU-O2dlx-haCCAWXVR2ZZGzfoQW6/s72-c/28.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2013/11/kinana-aanza-ziara-wilaya-ya-nyasa-mkoa.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2013/11/kinana-aanza-ziara-wilaya-ya-nyasa-mkoa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy