KAMPENI ZA UTAMBUZI WA LISHE BORA ZAANZISHWA NA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII.

Mfanyabaishara  katika  soko la Kunduchi  jijini Dar es Salaam, akisikiliza Zuhra Muhagama wakati  wa promosheni ya kuhamasisha wananchi k...

Mfanyabaishara  katika  soko la Kunduchi  jijini Dar es Salaam, akisikiliza Zuhra Muhagama wakati  wa promosheni ya kuhamasisha wananchi kutumia vyakula vyenye  nembo ya Virutubisho, Promosheni hiyo inaongozwa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kupitia Taasisi ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) Wilaya za Kinondoni, Ilala na Temeke za Dar es Saalam iliyoanza leo.
Akina mama wakazi wa  Tegeta  jijini Dar es Salaam, wakimsikiliza kwa makini  Bless Benard ( kushoto) wakati alipokuwa akiwapa elimu ya utumiaji  wa vyakula vilivyoongezwa virutubisho wakati wa Kampeni inayoendelea ya kutumia vyakula vyenye nembo ya virutubisho. Kampeni hiyo  inaendeshwa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kupitia Taasisi ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA).
Mama akiwa amebeba tenga lenye ukindu akimsikiliza kwa makini Bless Bernard  wakati akimpa  elimu ya utumiaji  wa vyakula vilivyoongezwa virutubisho wakati wa Kampeni inayoendeshwa  na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kupitia Taasis ya Chakula na Dawa Tanzania.
Mfanyabiashara ya Duka katika eneo la Mbezi Beach Dar es Salaam akipokea kipeperushi kutoka kwa  Zuhura Hussein  wakati alipofika dukani kwake kutoa elimu ya kuuza  vyakula vyenye nembo ya virutubisho.
Wafanyabaishara ya vifaa vya magari na bajaj katika eneo la Makonde Mbezi Dar es Salaam, wakimsikiliza Rosemay Elisha wakati alipokuwa akiwapa elimu ya utumiaji wa vyakula vyenye vitutubisho, Kampeni hiyo. 
Mfanyabiashara wa mihogo na miwa akimsikiliza mmoja wa akina dada waliopita katika mitaa ya  ukwamani Kawe Dar es Salaam, kuhamasisha utumiaji wa vyakula vilivyoongezwa virutubisho.
Mwendesha bodaboda katika kituo cha Jogoo Mbezi Beach Dar es Salaam, akimsikilza Bless Bernard wakati alipokuwa akiwapa elimu ya utumiaji vyakula vyenye  nembo ya virutubisho.


 







COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: KAMPENI ZA UTAMBUZI WA LISHE BORA ZAANZISHWA NA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII.
KAMPENI ZA UTAMBUZI WA LISHE BORA ZAANZISHWA NA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjveq1El5k5OuYmwOXatPnl1Gs8XcsPCmqw7YJTiXiL2fxQLfH38YJVhZOAfxPZgtofxEtshsOrjttoPqWd0t_B8VzF1oPUMraUvNg_BobJbnv8JyxrHr1Z_Lkl8Xqs05vHmcmFuxZ6Xkw/s640/picha+1-781437.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjveq1El5k5OuYmwOXatPnl1Gs8XcsPCmqw7YJTiXiL2fxQLfH38YJVhZOAfxPZgtofxEtshsOrjttoPqWd0t_B8VzF1oPUMraUvNg_BobJbnv8JyxrHr1Z_Lkl8Xqs05vHmcmFuxZ6Xkw/s72-c/picha+1-781437.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2013/09/kampeni-za-utambuzi-wa-lishe-bora.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2013/09/kampeni-za-utambuzi-wa-lishe-bora.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy