JKT 831 KJ MGULANI WAADHIMISHA MIAKA 50 DAR ES SALAAM
Wasanii wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakitumbuiza wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya JKT 831 KJ Mgulani Dar es Salaam Julai 4 2013.

JKT 831 KJ MGULANI WAADHIMISHA MIAKA 50 DAR ES SALAAM

 Wasanii wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakitumbuiza wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya JKT 831 KJ Mgulani Dar es Salaam Julai 4 201...




Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akizindua mnara wa kumbukumbuka katika uzinduzi wa maadhimisho ya hayo.  Anayemsaidia na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, Mhandisi Mussa Iyombe.


Kikundi cha Sarakasi cha JKT wakitoa wakionesha umahiri wa mchezo huo katika maadhimisho hayo.


Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiangalia moja ya vikoi vinavyotengenezwa na Chuo cha Mgulani Dar es Salaam wakati wa kukagua bidhaa shughuli zinazofanywa na wataaluma wa Jeshi hilo jana. Anayetoa maelezo ni Sejenti Dina Maskini Bunyoga (kulia).

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue (katikati), Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, Mhandisi Mussa Iyombe (wa pili kushoto), Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni General Samuel Ndomba (kushoto), Mkuu wa JKT, Meja Rafael Muhuga (wa pili kulia) na Kamanda wa Ardhini, Meja Jeneral Salum Kijuu.

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue (katikati), Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, Mhandisi Mussa Iyombe (wa pili kushoto), Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni General Samuel Ndomba (kushoto), Mkuu wa JKT, Meja Rafael Muhuga (wa pili kulia) na Kamanda wa Ardhini, Meja Jeneral Salum Kijuu wakiwa na baadhi ya wanajeshi.

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue (katikati), Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, Mhandisi Mussa Iyombe (wa pili kushoto), Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni General Samuel Ndomba (kushoto), Mkuu wa JKT, Meja Rafael Muhuga (wa pili kulia) na Kamanda wa Ardhini, Meja Jeneral Salum Kijuu na wanakwaya ya Oljoro na bendi ya jeshi hilo.

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue (katikati), Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, Mhandisi Mussa Iyombe  (wa pili kushoto), Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni General Samuel Ndomba (kushoto), Mkuu wa JKT, Meja Rafael Muhuga (wa pili kulia) na Kamanda wa Ardhini, Meja Jeneral Salum Kijuu wakiwa na maofisa jeshi.

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue (katikati), Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, Mhandisi Mussa Iyombe  (wa pili kushoto), Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni General Samuel Ndomba (kushoto), Mkuu wa JKT, Meja Rafael Muhuga (wa pili kulia) na Kamanda wa Ardhini, Meja Jeneral Salum Kijuu na baadhi ya maofisa wa jeshi.

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue (katikati), Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, Mhandisi Mussa Iyombe  (wa pili kushoto), Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni General Samuel Ndomba (kushoto), Mkuu wa JKT, Meja Rafael Muhuga (wa pili kulia) na Kamanda wa Ardhini, Meja Jeneral Salum Kijuu na maofisa waandamizi wa jeshi.

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue (katikati), Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, Mhandisi Mussa Iyombe  (wa pili kushoto), Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni General Samuel Ndomba (kushoto), Mkuu wa JKT, Meja Rafael Muhuga (wa pili kulia) na Kamanda wa Ardhini, Meja Jeneral Salum Kijuu.

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue (katikati), Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, Mhandisi Mussa Iyombe  (wa pili kushoto), Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni General Samuel Ndomba (kushoto), Mkuu wa JKT, Meja Rafael Muhuga (wa pili kulia) na Kamanda wa Ardhini, Meja Jeneral Salum Kijuu pamoja baadhi ya makatibu wakuu na viongozi wengine.


 Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akiteta na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni General Samuel Ndomba.


Wanakwaya wa JKT Oljoro wakitumbuiza wakati wa maadhimisho hayo.

Wacheza ngoma wa JKT wakionogesha maadhimisho hayo.











Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akipata maelezo ya bidhaa zinazotengenezwa na Chuo cha mafunzo cha Mgulani kutoka kwa Mwalimu Elice Nditije.   

Katibu Mkuu Mkuu Kiongozi akipata maelezo juu huduma afya zitolewazo na Hospitali ya JKT Mgulani.
 
 
 

Katibu Mkuu akiagana na viongozi waandamizi wa Jeshi.

 

Katibu Mkuu akiongea jambo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Mbarak Abdulwakil.
 
 

 

Katibu Mkuu akiondoka baada ya kumaliza ufunguzi huo.

 

 


Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: JKT 831 KJ MGULANI WAADHIMISHA MIAKA 50 DAR ES SALAAM
JKT 831 KJ MGULANI WAADHIMISHA MIAKA 50 DAR ES SALAAM
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgyJPNRhHp7q2wvsk3cR66uAfj9gLhhoy8jK075iks-t_MLQl8_pk6grKOHTQJE2TSnIT7QzjHmop-WC5bL5zW2mYvFkqvThs6hwopFfuEX1Y_O7usyp1W-nSlR9eAG575EJB-Zw15z6Hk/s640/20.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgyJPNRhHp7q2wvsk3cR66uAfj9gLhhoy8jK075iks-t_MLQl8_pk6grKOHTQJE2TSnIT7QzjHmop-WC5bL5zW2mYvFkqvThs6hwopFfuEX1Y_O7usyp1W-nSlR9eAG575EJB-Zw15z6Hk/s72-c/20.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2013/07/jkt-831-kj-mgulani-waadhimisha-miaka-50.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2013/07/jkt-831-kj-mgulani-waadhimisha-miaka-50.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy