Mtafiti wa Masoko ya Ajira, VETA Makao Makuu Julius Paul Mjelwa akitoa maelezo kwa wageni waliotembelea banda la VETA kwenye Maonyesho ...
Baadhi ya mashine na mitambo inayozalishwa na vyuo mbalimbali vya VETA nchini, ambayo ikitumika vema inaweza kulikomboa taifa kiuchumi kwa kuepuka utegemezi wa mashine na mitambo kutoka nje.
|
Mwanafunzi wa VETA, Theopista Michael akitoa maelezo wa wageni waliotembelea banda la VETA kuhusu mafunzo ya hoteli na utalii yanayotolewa na vyuo vya VETA vya Dodoma na Njiro mkoani Arusha.
|
Unajua mvinyo unatakiwa kuendana na aina ya chakula. Huyo ni Mwalimu Theonestina Raphael wa VETA Njiro, Arusha akielezea mvinyo Mwekundu na vyakula unaoendana navyo.
|

COMMENTS