HUBERT KAIRUKI WASHEREHEKEA MIAKA 25 YA UWEPO WAKE

Wasanii wa kundi la Mrisho Mpoto wakiburudisha kwa ngoma za asili wakati wa sherehe za miaka 25 ya hospitali ya Hubert Kairuki Mikoche...


Wasanii wa kundi la Mrisho Mpoto wakiburudisha kwa ngoma za asili wakati wa sherehe za miaka 25 ya hospitali ya Hubert Kairuki Mikocheni, Dar es Salaam, leo Machi 16, 2013
BURUDANI TENA HIYO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete (kati), Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi (kushoto) Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid (wa pili kushoto), Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hurber Kairuki, Dk Salim Ahmed Salim (wa pili kulia), Mwenyekiti wa Shirika la Afya na Elimu la Mikocheni Kokushubira Kairuki (kushoto kwa Rais) na Mkurugenzi Mkuu wa hospitali hiyo Dk. Asser Mchomvu.

Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malalusa (aliyepunga mkono) na viongozi mbalimbali wa dini wakiwa katika sherehe hiyo.
Askofu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Elinaza Sendoro akiswali kabla ya kuanza kwa sherehe.

Sheikhe wa mkoa wa Dar es Salaam Alhad Musa Salum naye aliyemwakilisha Mufti wa Tanzania, Shaaban Bin Simba akiomba dua kabla ya sherehe pia.
Wasanii wa kundi la Mrisho Mpoto wakiwa na picha ya Mwasisi wa hospitali hiyo, Hayati Profesa Hubert Kairukii

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akibonyesha kitufe cha kompyuta kuzindua mfumo wa TEKNOHAMA wa kuhudumia na kutunza kumbukumbu za wagonjwa


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi tuzo Dk Karungi Karoma aliyezaliwa kwenye hospitali hiyo ilipoanzanzishwa ambapo wengine takribani ishirini hivi walikabidhiwa tuzo katika sherehe hiyo.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete (katikati aliyeketi), viongozi mbalimbali na Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi, Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid na NaibuWaziri wa Sheria na katiba, Angela Kairuki (kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi watu waliozaliwa kwenye hospitali hiyo miaka 25 iliyopita hospitali ilipoanzishwa.
RAIS HAPO AKIWA NA WAFANYAKAZI WA HOSPITALI HIYO

AKIWA NA WANAFAMILIA WA HAYATI PROF. HUBERT KAIRUKI


Mkurugenzi Mkuu wa hospitali ya Kumbukumbu ya Hubert Kairuki, Dk Asser Mchomvu akimwelezea Rais jengo la mfano la Wodi ya wazazi inayotarajiwa kujengwa Hospitalini hapo.


Mama mzazi wa Hayati Profesa Hubert Kairuki, Angela Kairuki (kulia), Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Angela Kairuki (kushoto) na Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda wakipunga mkono wakati wa sherehe hiyo.  
Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi tuzo mmoja wa wafanyakazi walitimiza miaka 25 kwenye Hospitali hiyo, Mchungaji Henry Mfuko wakati wa sherehe hiyo. Anayeshuhudia ni Meneja wa Hospitali hiyo, Gerald Manongi na mwanasiasa mkongwe nchini, Sir George Kahama (kulia).
Rais Jakaya Kikwete akiweka shada la maua kwenye kaburi la Muasisi wa Hospitali ya Kairuki Prof. Hurbert Kairuki wakati wa sherehe za kuadhimisha miaka 25 ya hospitali hiyo Dar es Salaam.

Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi tuzo Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi wakati wa sherehe za kuadhimisha miaka 25 ya hospitali hiyo Dar es Salaam jana. Kulia ni Mwenyekiti wa Hospitali hiyo, Kokushubira Kairuki na Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid (mwenye miwani). (Picha na Mpiga Picha Wetu)

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: HUBERT KAIRUKI WASHEREHEKEA MIAKA 25 YA UWEPO WAKE
HUBERT KAIRUKI WASHEREHEKEA MIAKA 25 YA UWEPO WAKE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjkcXChUVr2hYSZ2RHKuvNgDLuzSc-KYc_e9XoftQ8HiVpDPuBdVIFWsKIeHpAIVwKgYyb9aIaWOqw_kZfvmvjgqU87t5usJWcTaeVvHoJ7aPBasTv_41F0jE793SVGxHXE87I3pzhsaic/s640/DSC_0319.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjkcXChUVr2hYSZ2RHKuvNgDLuzSc-KYc_e9XoftQ8HiVpDPuBdVIFWsKIeHpAIVwKgYyb9aIaWOqw_kZfvmvjgqU87t5usJWcTaeVvHoJ7aPBasTv_41F0jE793SVGxHXE87I3pzhsaic/s72-c/DSC_0319.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2013/03/hubert-kairuki-washerekea-miaka-25-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2013/03/hubert-kairuki-washerekea-miaka-25-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy