BENKI YA CRDB YADHAMINI MKUTANO MKUU WA GS1
HomeJamii

BENKI YA CRDB YADHAMINI MKUTANO MKUU WA GS1

  Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa (wa pili kulia), akishiriki maandamano ya washiriki ...

MAAFISA MAENDELEO YA JAMII KALETENI MABADILIKO KATIKA MAENEO YENU, MHE SIHABA NKINGA
DKT MWANJELWA: SERIKALI KUFANIKISHA UWEPO WA SOKO LA BIDHAA (COMMUNITY EXCHANGE)
HATUJASHINDWA KUCHUNGUZA MATUKIO YA KIHALIFU-MAJALIWA

 Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa (wa pili kulia), akishiriki maandamano ya washiriki wa Mkutano Mkuu wa Taasisi ya GS1 jijini Dar es Salaam.

 Maandamano yakielekea ukumbini. 



 Brass Band ikiongoza maandamano hayo. 
Mwenyekiti wa Bodi ya GS1 Tanzania, Gideon Mazara (wa kwanza kulia), akiwashiriki maandamano wakati wa kuingia ukumbini katika Mkutano Mkuu wa Mwakwa wa taasisi hiyo.
Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya CRDB, Frederick Nshakanabo, Mkurugenzi wa Huduma Mbadala wa Benki ya CRDB, Philip Alfred na Msaidizi wa Mkurugezi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Kenny Kasigila.
 Maandamano kuelekea katika ukumbi wa mikutano. 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (katikati), akipokea maandamano ya washiriki wa mkutano wa GS1. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimkabidhi cheti cha shukrani Mkurugenzi Mtendaji wa Benki wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, kwa kutambua udhamini wa benki ya CRDB katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Global Standard (GS1), taasisi hiyo inajishughulisha na uwekaji wa Barcodes katika bidhaa za kitanzania ili ziweze kukubalika katika soko la kimataifa na pia kuwa mdau wa kufanikisha sekta ya viwanda nchi mkutano huo ulifanyika jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya GS1 Tanzania, Gideon Mazara.


Mkurugenzi Mtendaji wa Benki wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei,akizungumza katika Mkutano wa Mkuu wa Taasisi ya GS1 ambao ni watumiaji wa Simbomilia (Barcodes).

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kushoto), akiwa na baadhi ya watendaji wa benki hiyo katika mkutano wa Mwaka wa taasisi ya GS1.
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benmki ya CRDB, Tully Mwambapa akiteta jambo na Mkurugenzi wa Fedha wa Benki hiyo, Frederick Nshakanabo, katika mkutano huo. 
Mkutano ukiendelea.
Washiriki wa mkutano huo.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: BENKI YA CRDB YADHAMINI MKUTANO MKUU WA GS1
BENKI YA CRDB YADHAMINI MKUTANO MKUU WA GS1
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQqvpJkWtpiwr9GyssV4dDtARM_yVgAOBbApYUUoF7074yceHG7pGRJVdN4iAl-c5N_VtHHNUgX-jgOhqqfOfMjP03sjbbeB_EipklTkcQyRSK6dui5SGsXQYaRpz6CCU7LCWq8u3gSoU/s640/IMG_0133.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQqvpJkWtpiwr9GyssV4dDtARM_yVgAOBbApYUUoF7074yceHG7pGRJVdN4iAl-c5N_VtHHNUgX-jgOhqqfOfMjP03sjbbeB_EipklTkcQyRSK6dui5SGsXQYaRpz6CCU7LCWq8u3gSoU/s72-c/IMG_0133.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/02/benki-ya-crdb-yadhamini-mkutano-mkuu-wa.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/02/benki-ya-crdb-yadhamini-mkutano-mkuu-wa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy