KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI JOHN KIJAZI APOKEA KWA NIABA YA RAIS KANUNI ZA SHERIA YA MADINI NAMBA 7 YA MWAKA 2017
Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi akimpa muhtasari Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi kabla ya kumkabidhi vitabu vya Kanuni za sheria ya Madini namba 7 ya mwaka 2017 ambaye anapokea kwa niaba ya Rais Dkt John Pombe Magufuli aliyeagiza kuandaliwa kwa kanuni hizo ndani haraka ili sheria iweze kufanya kazi. Hafla hiyo ndogo, iliyohudhuriwa pia na Manaibu Waziri wa Madini  Mhe. Doto Biteko na  pamoja na Katibu Mkuu  wa Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila, imefanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi 11, 2018
HomeJamii

KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI JOHN KIJAZI APOKEA KWA NIABA YA RAIS KANUNI ZA SHERIA YA MADINI NAMBA 7 YA MWAKA 2017

Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi akimpa muhtasari Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi kabla ya kumkabidhi vit...

WAZIRI MKUU MAJALIWA AZUGUMZA NA WATENDAJI WAKUU WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII NA WAKUU WA MAPORI YA HIFADHI ZA MISITU
WADAU WA ELIMU WAKUTANA KWA SIKU MBILI DAR ES SALAAM KUJADILI ELIMU YA JUU NCHINI
TAASISI YA MOYO YA JAKAYA KIKWETE (JKCI) IMEOKOA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 580 FEDHA ZA SERIKALI





Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi akimpa muhtasari Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi kabla ya kumkabidhi vitabu vya Kanuni za sheria ya Madini namba 7 ya mwaka 2017 ambaye anapokea kwa niaba ya Rais Dkt John Pombe Magufuli aliyeagiza kuandaliwa kwa kanuni hizo ndani haraka ili sheria iweze kufanya kazi. Hafla hiyo ndogo, iliyohudhuriwa pia na Manaibu Waziri wa Madini  Mhe. Doto Biteko na  pamoja na Katibu Mkuu  wa Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila, imefanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi 11, 2018


Kitabu cha Kanuni za sheria ya Madini namba 7 ya mwaka 2017

Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi akimkabidhi Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi  vitabu vya Kanuni za sheria ya Madini namba 7 ya mwaka 2017 ambaye anapokea kwa niaba ya Rais Dkt John Pombe Magufuli aliyeagiza kuandaliwa kwa kanuni hizo ndani haraka ili sheria iweze kufanya kazi. Hafla hiyo ndogo, iliyohudhuriwa pia na Manaibu Waziri wa Madini  Mhe. Doto Biteko na  pamoja na Katibu Mkuu  wa Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila, imefanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi 11, 2018




Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi, Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi  na Manaibu Waziri wa Madini  Mhe. Stanslaus Nyongo na Mhe. Doto Biteko, pamoja na Katibu Mkuu  wa Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila, wakiwa na vitabu vya  Kanuni za sheria ya Madini namba 7 ya mwaka 2017 baada ya  Balozi Kijazi kuvipokea kwa niaba ya Rais Ikulu jijini Dar es Salaam leo Alhamisi 11, 2018.


Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi, Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi  na Manaibu Waziri wa Madini  Mhe. Stanslaus Nyongo na Mhe. Doto Biteko, pamoja na Katibu Mkuu  wa Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila, wakiwa na vitabu vya  Kanuni za sheria ya Madini namba 7 ya mwaka 2017 baada ya  Balozi Kijazi kuvipokea kwa niaba ya Rais Ikulu jijini Dar es Salaam leo Alhamisi 11, 2018.


Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi  akimkabidhi Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango kitabu cha Kanuni za sheria ya Madini namba 7 ya mwaka 2017 baada ya  Balozi Kijazi kuvipokea kwa niaba ya Rais Ikulu jijini Dar es Salaam leo Alhamisi 11, 2018. Wengine ni Manaibu Waziri wa Madini  Mhe. Stanslaus Nyongo na Mhe. Doto Biteko, pamoja na Katibu Mkuu  wa Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila. 

(PICHA NA IKULU)














Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI JOHN KIJAZI APOKEA KWA NIABA YA RAIS KANUNI ZA SHERIA YA MADINI NAMBA 7 YA MWAKA 2017
KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI JOHN KIJAZI APOKEA KWA NIABA YA RAIS KANUNI ZA SHERIA YA MADINI NAMBA 7 YA MWAKA 2017
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEixrITJEk_592f2v5zKUvPidzx1qKySbIYNnGGr8g5AlG5RdYT72dBLNq-Pihn6kwXEEo6-7aDr6efrwIyZOI6vvqBvvBU5EhU2sP2klUij2ys5nV67VMQkg94TAc2sJI57Ans34GtMoIc/s640/ka+%25281%2529.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEixrITJEk_592f2v5zKUvPidzx1qKySbIYNnGGr8g5AlG5RdYT72dBLNq-Pihn6kwXEEo6-7aDr6efrwIyZOI6vvqBvvBU5EhU2sP2klUij2ys5nV67VMQkg94TAc2sJI57Ans34GtMoIc/s72-c/ka+%25281%2529.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/01/katibu-mkuu-kiongozi-balozi-john-kijazi.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/01/katibu-mkuu-kiongozi-balozi-john-kijazi.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy