WAZIRI MPINA APOKEA RIPOTI YA KAMATI NDOGO ALIYOIUNDA KWA SIRI KUTATHMINI UTENDAJI WA SEKTA YA UVUVI KATIKA ZIWA VICTORIA
HomeJamii

WAZIRI MPINA APOKEA RIPOTI YA KAMATI NDOGO ALIYOIUNDA KWA SIRI KUTATHMINI UTENDAJI WA SEKTA YA UVUVI KATIKA ZIWA VICTORIA

  Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe Luhaga Mpina (kulia) akipokea ripoti ya Kamati Ndogo ya kutathmini utendaji wa sekta ya Uvuvi katika ...

 Waziri wa
Mifugo na Uvuvi, Mhe Luhaga Mpina (kulia) akipokea ripoti ya Kamati Ndogo ya
kutathmini utendaji wa sekta ya Uvuvi katika Ziwa Victoria kutoka kwa
Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhandisi Bonaventure Baya anayeshuhudia ni Katibu
Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia uvuvi, Dk.
Yohana Budeba hafla iliyofanyika Makao Makuu
ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dodoma jana.
 Waziri wa
Mifugo na Uvuvi, Mhe Luhaga Mpina(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na
wajumbe wa Kamati Ndogo ya kutathmini utendaji wa sekta ya Uvuvi katika Ziwa
Victoria baada ya kukabidhi ripoti yako mjini Dodoma jana. Kushoto ni
Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mhandisi Bonaventure Baya Kulia ni Katibu Mkuu
Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Uvuvi,
Dk Yohana Budeba
 Waziri wa
Mifugo na Uvuvi, Mhe Luhaga Mpina akiwashukuru wajumbe wa Kamati Ndogo
ya kutathmini
utendaji wa sekta ya Uvuvi katika Ziwa Victoria baada ya kupokea ripoti hiyo
mjini Dodoma jana.  Kushoto ni Katibu
Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia uvuvi Dk. Yohana
Budeba
Mwenyekiti
wa Kamati Ndogo ya kutathmini utendaji wa sekta ya Uvuvi katika Ziwa
Victoria,  Mhandisi
Bonaventure Baya (kushoto) akiteta jambo na Katibu Mkuu Wizara
ya  Mifugo na Uvuvi
anayeshughulikia uvuvi, Dk Yohana Budeba mara
baada ya kukabidhi ripoti yake kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe Luhaga Mpina
hayuko pichani Dodoma jana.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAZIRI MPINA APOKEA RIPOTI YA KAMATI NDOGO ALIYOIUNDA KWA SIRI KUTATHMINI UTENDAJI WA SEKTA YA UVUVI KATIKA ZIWA VICTORIA
WAZIRI MPINA APOKEA RIPOTI YA KAMATI NDOGO ALIYOIUNDA KWA SIRI KUTATHMINI UTENDAJI WA SEKTA YA UVUVI KATIKA ZIWA VICTORIA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEip2PBpXVF9ahnk1FIePVC3e1Q4g14usONxfTSTeyDL44dooeWP3CF43iVhZhJnMI0mkbvdsOieaYDw7fIPSAt74sjMEmYqLEiNuqlb5V591KqHb6yJQFzFcE6Gk8-95ihyc2wldNfmim5t/s640/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEip2PBpXVF9ahnk1FIePVC3e1Q4g14usONxfTSTeyDL44dooeWP3CF43iVhZhJnMI0mkbvdsOieaYDw7fIPSAt74sjMEmYqLEiNuqlb5V591KqHb6yJQFzFcE6Gk8-95ihyc2wldNfmim5t/s72-c/1.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/12/waziri-mpina-apokea-ripoti-ya-kamati.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/12/waziri-mpina-apokea-ripoti-ya-kamati.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy