Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi (katikati) akionyesha faili lenye taarifa za Ardhi ya Kiwanja Kimoja mbele ya...
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi (katikati) akionyesha faili lenye taarifa za Ardhi ya Kiwanja Kimoja mbele ya Waandishi wa Habari alipokuwa akikagua maendeleo ya Mradi wa Mfumo Unganishi wa Taarifa za Ardhi(ILMIS) leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Mipango Miji wa wizara hiyo Bi. Irene Sarwat. Mradi huo utakapo kamilika unaondoa matumizi ya karatasi katika kuhifadhi taarifa za ardhi badala yake zitakuwa zianhifadhiwa katika Kompyuta.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akionyesha hati mbele ya Waandishi wa Habari alipokuwa akikagua maendeleo ya Mradi wa Mfumo Unganishi wa Taarifa za Ardhi(ILMIS) leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa TEHAMA wa Wizara hiyo Bw. Shaban Pazi. Mradi huo utakapo kamilika unaondoa matumizi ya karatasi katika kuhifadhi taarifa za ardhi badala yake zitakuwa zianhifadhiwa katika Kompyuta.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi (kushoto) akisikiliza maelezo toka kwa mmoja wa wafanyakazi katika cha Mradi wa Mfumo Unganishi wa Taarifa za Ardhi(ILMIS) alipokuwa akikagua maendeleo ya mradi huo leo Jijini Dar es Salaam. Mradi huo utakapo kamilika unaondoa matumizi ya karatasi katika kuhifadhi taarifa za ardhi badala yake zitakuwa zianhifadhiwa katika Kompyuta.


Afisa Mipango Miji wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bi. Irene Sarwat akimuelezea jambo Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi (kushoto) alipokuwa akikagua maendeleo ya Mradi wa Mfumo Unganishi wa Taarifa za Ardhi(ILMIS) leo Jijini Dar es Salaam. Mradi huo utakapo kamilika unaondoa matumizi ya karatasi katika kuhifadhi taarifa za ardhi badala yake zitakuwa zianhifadhiwa katika Kompyuta.
(PICHA NA: FRANK SHIJA - MAELEZO)
COMMENTS