HATIMILIKI ZA ARDHI KUTOLEWA NDANI YA WIKI MOJA
HomeJamii

HATIMILIKI ZA ARDHI KUTOLEWA NDANI YA WIKI MOJA

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi (katikati) akionyesha faili lenye taarifa za Ardhi ya Kiwanja Kimoja mbele ya...

VIDEO: MAKALA FUPI YA KATIBU MKUU BI SIHABA NKINGA KATIKA MAKAZI YA WAZEE YA NJORO MOSHI NA MAGUGU BABATI
VIONGOZI WA MASHIRIKA YA UMMA NA BINAFSI WAMETAKIWA KUPIMA AFYA ZAO MARA KWA MARA – PROF MOHAMED JANABI
MANISPAA YA UBUNGO YAINGIA MIKATABA KAZI YA BILIONI NNE





Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi (katikati) akionyesha faili lenye taarifa za Ardhi ya Kiwanja Kimoja mbele ya Waandishi wa Habari alipokuwa akikagua maendeleo ya Mradi wa Mfumo Unganishi wa Taarifa za Ardhi(ILMIS) leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Mipango Miji wa wizara hiyo Bi. Irene Sarwat. Mradi huo utakapo kamilika unaondoa matumizi ya karatasi katika kuhifadhi taarifa za ardhi badala yake zitakuwa zianhifadhiwa katika Kompyuta.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akionyesha hati mbele ya Waandishi wa Habari alipokuwa akikagua maendeleo ya Mradi wa Mfumo Unganishi wa Taarifa za Ardhi(ILMIS) leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa TEHAMA wa Wizara hiyo Bw. Shaban Pazi. Mradi huo utakapo kamilika unaondoa matumizi ya karatasi katika kuhifadhi taarifa za ardhi badala yake zitakuwa zianhifadhiwa katika Kompyuta.


Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi (kushoto) akisikiliza maelezo toka kwa mmoja wa wafanyakazi katika cha Mradi wa Mfumo Unganishi wa Taarifa za Ardhi(ILMIS) alipokuwa akikagua maendeleo ya mradi huo leo Jijini Dar es Salaam. Mradi huo utakapo kamilika unaondoa matumizi ya karatasi katika kuhifadhi taarifa za ardhi badala yake zitakuwa zianhifadhiwa katika Kompyuta.





Afisa Mipango Miji wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bi. Irene Sarwat akimuelezea jambo Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi (kushoto) alipokuwa akikagua maendeleo ya Mradi wa Mfumo Unganishi wa Taarifa za Ardhi(ILMIS) leo Jijini Dar es Salaam. Mradi huo utakapo kamilika unaondoa matumizi ya karatasi katika kuhifadhi taarifa za ardhi badala yake zitakuwa zianhifadhiwa katika Kompyuta.
(PICHA NA: FRANK SHIJA - MAELEZO)

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: HATIMILIKI ZA ARDHI KUTOLEWA NDANI YA WIKI MOJA
HATIMILIKI ZA ARDHI KUTOLEWA NDANI YA WIKI MOJA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgX3SFO-EMzcb6wtLxwQaxr3hPaEazkYoqLbvm7pqEFN3kPmW70kLvThfEl3826yoBN3GG_QGU_3J5IBYoxs7ABm6tgirGM4egpvdelDIGQqPy6l4KWpIbJOZ2bzqhrcFa610rJxpJsZEjr/s640/LK4.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgX3SFO-EMzcb6wtLxwQaxr3hPaEazkYoqLbvm7pqEFN3kPmW70kLvThfEl3826yoBN3GG_QGU_3J5IBYoxs7ABm6tgirGM4egpvdelDIGQqPy6l4KWpIbJOZ2bzqhrcFa610rJxpJsZEjr/s72-c/LK4.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/11/hatimiliki-za-ardhi-kutolewa-ndani-ya_27.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/11/hatimiliki-za-ardhi-kutolewa-ndani-ya_27.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy