SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS WA RWANDA, PAUL KAGAME UWANJA WA AMAHORO MJINI KIGALI
HomeJamii

SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS WA RWANDA, PAUL KAGAME UWANJA WA AMAHORO MJINI KIGALI

RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, ameapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo mbele ya zaidi ya marais 20, wakiwemo wakuu wa serikali, marafiki wa Rwanda k...

ATUMIA MIEZI SABA KUSAFIRI KWA PIKIPIKI KUTOKA OMAN HADI TANZANIA, ATEMBELEA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII MJINI DODOMA
58 WAKAMATWA OPERESHENI YA DAWA ZA KULEVYA
GAVANA WA MJI WA IMO NIGERIA KUWASOMESHA WANAFUNZI YATIMA WA TANZANIA BURE NCHINI NIGERIA




RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, ameapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo mbele ya zaidi ya marais 20, wakiwemo wakuu wa serikali, marafiki wa Rwanda kutoka kila kona ya dunia na Wanyarwanda wenyewe, huku Tanzania ikiwakilishwa na Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Mhe. Benjamin Mkapa.
Sherehe za kuapishwa kiongozi huyo zimefanyika Ijumaa Agosti 18, 2017 kwenye uwanja wa michezo wa Amahoro mjini Kigali.
Kuapishwa kwa Rais Kagame kunafuatia uchaguzi mkuu uliomalizika hivi karibuni ambapo alipata zaidi ya asilimia 98 ya kura zilizopigwa na hivyo kujipatia imani kubwa kutoka kwa Wanyarwanda.
Katika hotuba yake baada ya kuapishwa, Rais Kagame ambaye yuko madarakani tangu mwaka 1994 baada ya mauaji ya kimbari (halaiki), alisema, Waafrika wasikubali kuchaguliwa mfumo wa utawala wan chi za Magaharibi.Lakni pia aliwashukuru marafiki wa Rwanda kutoka kila pembe ya dunia kwa kusimama pamoja na nchi hiyo na kuiweka Rwanda mioyoni mwao na kufanya bidii katika kuitunza nchi yake ili ipate maendeleo.



















Rais Kagame akiwa na mkewe Jannet na watoto wao.

Rais mstaafu wa Tanzania, Mhe. Benjamin Mkapa akitambulishwa.



























































Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS WA RWANDA, PAUL KAGAME UWANJA WA AMAHORO MJINI KIGALI
SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS WA RWANDA, PAUL KAGAME UWANJA WA AMAHORO MJINI KIGALI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEglu0poOlR6jPvf3lA0X2MeT6yjUII6rLu9uuBClbocPwoSEMchGoRc9DMqHsbonmBTrOFSgyw2wPSIxU8Lw5-WqbwG50_2hgbeDmK1p5yFhXBE_FZS-j-k_3KSK9xTf9DSBoSOxFnTNwkt/s640/SAIN.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEglu0poOlR6jPvf3lA0X2MeT6yjUII6rLu9uuBClbocPwoSEMchGoRc9DMqHsbonmBTrOFSgyw2wPSIxU8Lw5-WqbwG50_2hgbeDmK1p5yFhXBE_FZS-j-k_3KSK9xTf9DSBoSOxFnTNwkt/s72-c/SAIN.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/08/sherehe-za-kuapishwa-rais-wa-rwanda.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/08/sherehe-za-kuapishwa-rais-wa-rwanda.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy