TAASISI YA MAMA'S & PAPA'S KUTOA TUZO KWA WANAOTHAMINI JAMII
HomeJamii

TAASISI YA MAMA'S & PAPA'S KUTOA TUZO KWA WANAOTHAMINI JAMII

 Mshauri wa Taasisi ya Mama’s & Papa’s For Community Reform Rehabilitation Center (MPFCR) Balozi Patrick Chokala akizun...

WAKINA BABA WATAKIWA KUTOA ELIMU YA AFYA YA UZAZI KWA WATOTO WAO
CISCO MTIRO MSIBA WA DAR ES SALAAM
KATIBU MKUU WIZARA YA ARDHI AAGWA RASMI NA WIZARA


 Mshauri wa Taasisi ya Mama’s & Papa’s For Community Reform Rehabilitation Center (MPFCR) Balozi Patrick Chokala akizungumza na waandishi wa habari kuhusu utoaji wa TUZO kwa baadhi ya watu wenyemkachango katika jamii leo Jijini Dar es Salaam. Tuzo hizo zitatolewa tarehe 12 mwezi huu. Watakaopewa tuzo hizo ni Dkt. Reginald Mengi, Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatale, Mhe. Agustino Lyatonga Mrema, Mustafa Sabodo, na Mohamed Gulam Dewji. Kulia ni Mjumbe wa Taasisi hiyo Omary Kombe.
 Msanii wa muziki wa Bongo Fleva ambaye pia ni Balozi wa Taasisi ya Mama’s & Papa’s For Community Reform Rehabilitation Center (MPFCR), Nurdin Bilal maarufu kama Shetta (baba Kaira) akielezea jambo mbele ya waandishi wa habari kuhusu yeye kuwa Balozi wa Taasisi hiyo kwa lengo la kuunga mkono jitihada za kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya leo Jijini Dar es Salaam.Taasisi hiyo pia imetoa Tuzo za heshima kwa baadhi ya watu wenye mchango katika jamii. Kutoka kulia ni Mshauri wa Taasisi hiyo Balozi Patrick Chokala na Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Bibi. Emmi Ally Ghahae. 
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano wao na wawakilishi wa Taasisi ya Mama’s & Papa’s For Community Reform Rehabilitation Center (MPFCR) leo jijini Dar es Salaam. Taasisi hiyo inatarajia kutoa Tuzo za heshima kwa baadhi ya wadau wanajali na kuthamini jamii.Watakaopewa tuzo hizo ni Dkt. Reginald Mengi, Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatale, Mhe. Agustino Lyatonga Mrema, Mustafa Sabodo, na Mohamed Gulam Dewji.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: TAASISI YA MAMA'S & PAPA'S KUTOA TUZO KWA WANAOTHAMINI JAMII
TAASISI YA MAMA'S & PAPA'S KUTOA TUZO KWA WANAOTHAMINI JAMII
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjcbG3LDqMtg4S5PMwkWXu3-3cD2cQ42ebf5xw63eAlLS1ije29phweyJnDkFwh-PBa9Y4KoTq5V0nySeSx79pqAj8_c30wYleWt3lw12Iakm2nAnzJNAI3pGWqIBzNB_BOfY9cjkr3ZWc/s640/unnamed+%252827%2529.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjcbG3LDqMtg4S5PMwkWXu3-3cD2cQ42ebf5xw63eAlLS1ije29phweyJnDkFwh-PBa9Y4KoTq5V0nySeSx79pqAj8_c30wYleWt3lw12Iakm2nAnzJNAI3pGWqIBzNB_BOfY9cjkr3ZWc/s72-c/unnamed+%252827%2529.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/05/taasisi-ya-mamas-papas-kutoa-tuzo-kwa.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/05/taasisi-ya-mamas-papas-kutoa-tuzo-kwa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy