NAIBU KATIBU MKUU- NISHATI AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KWENYE MKUTANO WA MAFUTA KONGO
HomeJamii

NAIBU KATIBU MKUU- NISHATI AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KWENYE MKUTANO WA MAFUTA KONGO

  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na  Madini  anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (kulia) akiwasili ...

DC JUMA HOMERA AFANIKIWA KUANZA UJENZI WA KITUO CHA AFYA NAKAYAYA, TUNDURU
HABARI KUHUSU JPC KATI YA TANZANIA NA UGANDA
WANANCHI SHIRIKIANENI NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO KUIFANYA TANZANIA KUWA NA UCHUMI WA KATI IFIKAPO 2025 – BALOZI SEIF


 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (kulia) akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kalemie, Kongo kwa ajili  ya kushiriki mkutano  wa kubadilishana data na uzoefu kuhusu mafuta katika Tanganyika uliofanyika hivi karibuni nchini Kongo. Nchi nyingine zilizoshiriki ni pamoja na Burundi, Kongo na  Zambia. Wengine kutoka kushoto ni  Gavana wa Jimbo la  Tanganyika – Kongo, Richard Ngoy Kitangala, Waziri wa Migodi na Madini Nchini Zambia, Chris Yaluma na Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo, Profesa Aime Ngoi-Mukena Lusa.
 
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (kushoto) na Gavana wa Jimbo la  Tanganyika – Kongo, Richard Ngoy Kitangala (kulia) wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yanatolewa na Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo, Profesa Aime Ngoi-Mukena Lusa (hayupo pichani) katika mkutano huo.
 
 Mkurugenzi Msaidizi wa Sheria, Wizara ya Nishati na Madini, Anna Ngowi (kushoto) pamoja na wataalam wengine kutoka Tanzania wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa katika mkutano huo.
 
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (katikati) akiweka mchanga kwenye jiwe la msingi kuashiria uzinduzi wa ujenzi wa Chuo Kikuu cha Mafuta na Gesi katika mji wa Kalemie. Kulia kwake ni Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo, Profesa Aime Ngoi-Mukena Lusa.
 
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo ( wa pili kutoka kushoto, mbele) pamoja na viongozi wengine wakishikana mikono kama ishara ya umoja mara baada ya kuzindua ujenzi wa  Chuo Kikuu cha Mafuta na  Gesi katika mji wa Kalemie hivi karibuni .
 
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo ( wa tatu kushoto mbele) na Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo, Profesa Aime Ngoi-Mukena Lusa ( wa sita kulia mbele) wakiwa katika picha ya pamoja na watendaji  wengine mara baada ya uzinduzi wa ujenzi wa  Chuo Kikuu cha Mafuta na  Gesi katika mji wa Kalemie hivi karibuni.
 
 Mtaalam kutoka Idara ya Nishati, Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Athur Lyatuu (kushoto) akibadilishana mawazo na mmoja wa wajumbe wa mkutano huo.
Ujumbe kutoka Tanzania ukifuatilia hoja mbalimbali zilizokuwa zinajadiliwa katika mkutano huo.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: NAIBU KATIBU MKUU- NISHATI AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KWENYE MKUTANO WA MAFUTA KONGO
NAIBU KATIBU MKUU- NISHATI AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KWENYE MKUTANO WA MAFUTA KONGO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhb8y6gdkhTIvYZoUWFuz8Oq4t_zDGDI7YxRkYnOQdm1qyMPsOXS7fR3ZR0LVrcVdvRfzehHD8TMrL7sXmUIaubHiHiR52-gLsRZnfWmwTw1SXVF82xeAwtLQicFVBSKsccs9JfwlZcxHH_/s640/PICHA+NA+1.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhb8y6gdkhTIvYZoUWFuz8Oq4t_zDGDI7YxRkYnOQdm1qyMPsOXS7fR3ZR0LVrcVdvRfzehHD8TMrL7sXmUIaubHiHiR52-gLsRZnfWmwTw1SXVF82xeAwtLQicFVBSKsccs9JfwlZcxHH_/s72-c/PICHA+NA+1.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/02/naibu-katibu-mkuu-nishati-aongoza.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/02/naibu-katibu-mkuu-nishati-aongoza.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy