MATUKIO MBALIMBALI KUHUSU WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO BUNGENI MJINI DODOMA
HomeJamii

MATUKIO MBALIMBALI KUHUSU WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO BUNGENI MJINI DODOMA

  Waziri wa Fedha na Mipango, mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb), akifafanua baadhi ya vipengele vya Muswada wa marekebisho ya Sheria mb...

WATEJA WA DStv WAJINYAKULIA ZAWADI KEDEKEDE
MASAUNI AWATAKA WANAFUNZI VYUO VIKUU NCHINI KUONGEZA KASI YA UBUNIFU, AFUNGUA MAONYESHO YA SAYANSI CHUO CHA ST. JOSEPH DAR
MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA BALOZI WA MAURITIUS HAPA NCHINI NA WAWEKEZAJI WA SUKARI


MATUKIO MBALIMBALI KUHUSU WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO BUNGENI MJINI DODOMA
 Waziri wa Fedha na Mipango, mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb), akifafanua baadhi ya vipengele vya Muswada wa marekebisho ya Sheria mbalimbali Namba 4 ya Mwaka 2016, kuhusu marekebisho ya Sheria ya Mikopo, Misaada na Dhamana. Muswada huo ulipitishwa kuwa Sheria na Bunge Februari Mosi, 2017.
 Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Bw. George Masaju, akihitimisha mjadala wa Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali Namba 4 ya Mwaka 2016, uliopitishwa na wabunge kuwa Sheria Februari Mosi, 2017, Mjini Dodoma
 Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb) na Naibu Waziri wake, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), wakipitia nyaraka za Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali Namba 4 ya Mwaka 2016, Bungeni Mjini Dodoma, Muswada ambao tayari Bunge limeupitisha kwa kishindo kuwa Sheria Februari Mosi, Mjini Dodoma.
 Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb), akitoka nje ya ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma baada ya kutetea na kufafanua vipengele kadhaa vya Marekebisho ya Sheria mbalimbali Namba 4 ya Mwaka 2016, husani eneo la Sheria ya Mikopo, Misaada na Dhamana,  na baadaye Muswada huo kupitishwa na Bunge ili uwe Sheria, Februari Mosi, 2017, Bungeni Mjini Dodoma.
 Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb), akimweleza jambo Naibu Waziri wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhe. Dkt. Medard Kalemani (Mb), nje ya viwanja vya Bunge mjini Dodoma, baada ya Bunge kupitisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali Namba 4 ya Mwaka 2016, Februari Mosi, 2017.(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-WFM)
  Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango (Mb), akimpongeza Mkurugenzi wa Idara ya Sheria wa Wizara hiyo Bi. Suzana Mkapa, Nje ya Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma, kwa namna alivyoshirikiana na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Masaju, kufanikisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali Namba 4 ya Mwaka 2016, uliopitishwa na wabunge Februari Mosi, 2017.
 Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango (Mb), akifurahia jambo na maafisa waandamizi wa masuala ya Sheria na Uchumi wa Wizara yake baada ya Bunge kupitisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali Namba 4 ya Mwaka 2016, uliopitishwa Februari Mosi, 2017, mjini Dodoma.
 Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb), akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa waandamizi wa masuala ya Sheria na Uchumi wa Wizara yake, nje ya ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma, baada ya kupitishwa kwa marekebisho ya Sheria mbalimbali Namba 4 ya Mwaka 2016, ikiwemo Sheria ya Mikopo, Misaada na Dhamana.


 Maafisa Waandamizi wa  masuala ya Sheria na Uchumi wakiambatana na Mkurugenzi wa Idara ya Sheria wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bi. Suzana Mkapa (kulia), wakiwasili kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma, kusikiliza mjadala wa Bunge kuhusu Muswada wa  Marekebisho ya Sheria mbalimbali Namba 4 ya Mwaka 2016, uliopitishwa na wabunge kuwa Sheria Februari Mosi, 2017.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MATUKIO MBALIMBALI KUHUSU WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO BUNGENI MJINI DODOMA
MATUKIO MBALIMBALI KUHUSU WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO BUNGENI MJINI DODOMA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh_j_NCp7EWXQNZzsgKwJ4cP9sDVbVrn8uxCDMVBi3E9sfstIaeBd3vdwr6Q8QsNMQgGZpa4lwa2YuF9vK1MjPFmRUER80y4tdXlyDNx4Bc5UQ9AOWbHyI0StNFNogQT9FvIA7EhkVQSvw/s640/IMG_5656.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh_j_NCp7EWXQNZzsgKwJ4cP9sDVbVrn8uxCDMVBi3E9sfstIaeBd3vdwr6Q8QsNMQgGZpa4lwa2YuF9vK1MjPFmRUER80y4tdXlyDNx4Bc5UQ9AOWbHyI0StNFNogQT9FvIA7EhkVQSvw/s72-c/IMG_5656.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/02/matukio-mbalimbali-kuhusu-wizara-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/02/matukio-mbalimbali-kuhusu-wizara-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy