MARTIN KADINDA NA KUNDI LAKE WASHINDA MAHAKAMANI, AKANA YEYE SIO MENEJA WA WEMA KWA SASA
HomeJamii

MARTIN KADINDA NA KUNDI LAKE WASHINDA MAHAKAMANI, AKANA YEYE SIO MENEJA WA WEMA KWA SASA

Aliyekuwa meneja wa wema Martin Kadinda akiwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu pamoja na wanasheria Na Humphrey Shao, Globu ya...



Aliyekuwa meneja wa wema Martin Kadinda akiwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu pamoja na wanasheria


Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii

Mwanamitindo maarufiu nchini, Martin Kadinda amesema kuwa yeye sio meneja wa Wema Sepetu kwa sasa, bali amefika mahakamani hapo kama rafiki wa karibu wa msanii huyo.

Kadinda amesema hayo katika maongezi maalum na mwandishi wa globu ya jamii juu ya uhusiano wake na Wema Sepetu kwa sasa. hasa mara baada ya kuhusishwa na tuhuma za matumizi na uuzwaji wa dawa za kulevya.

“kwa sasa mie sio meneja wa wema,mimi ni rafiki yake tu wa karibu hivyo nimeamua kuja hapa kwa ajili ya kujua rafiki yangu amefikia wapi katika kipindi hiki ambacho anapitia magumu” amesema Kadinda

Ametaja kuwa yeye kwa sasa anaendelea na biashara yake ya kushona suti tu ili aweze kujipatia ugali wake wa kila siku na sio kujihusisha na makundi ambayo sio sahiii.Hata hivyo kadinda ameonekana akisubiri kwa hamu kubwa kuona rafiki yake anafikishwa mahakamani hapo,lakini haikuwa hivyo Wema hakufikishwa tena mahakamani hapo.

Baadhi ya wafuasi wa wema wakiwa wamesimama kusubiri msanii huyo kuletwa mahakamani.

Mmoja wa wasanii mahiri atambulikae kwa jna la kisanii jike shupa na wenzie wakiwa wamekata tamaa mara baada ya kuambiwa Wema haletwi mahakamani hapo.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MARTIN KADINDA NA KUNDI LAKE WASHINDA MAHAKAMANI, AKANA YEYE SIO MENEJA WA WEMA KWA SASA
MARTIN KADINDA NA KUNDI LAKE WASHINDA MAHAKAMANI, AKANA YEYE SIO MENEJA WA WEMA KWA SASA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEih_RBy2O5aUG8Nz_ajV90AeeYooEjmMxjs4YSFJnSa0SbKR48pLb7IUjVM3NvSq5rzD7WFJ3ZQncyPppsHBgkWYqlcaJqN2EGVSZpisOenJFWZOh4VpmkGvbEqqVaAu0OYVlsR5csgDuap/s640/MMG_3398.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEih_RBy2O5aUG8Nz_ajV90AeeYooEjmMxjs4YSFJnSa0SbKR48pLb7IUjVM3NvSq5rzD7WFJ3ZQncyPppsHBgkWYqlcaJqN2EGVSZpisOenJFWZOh4VpmkGvbEqqVaAu0OYVlsR5csgDuap/s72-c/MMG_3398.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/02/martin-kadinda-na-kundi-lake-washinda.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/02/martin-kadinda-na-kundi-lake-washinda.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy