HOSPITALI YA KAIRUKI YATOA HUDUMA ZA AFYA YA MACHO BURE
HomeJamii

HOSPITALI YA KAIRUKI YATOA HUDUMA ZA AFYA YA MACHO BURE

 Daktari Bingwa wa magonjwa ya macho Dk. Mustafa Yusufali akimpima macho, Alphonce Joseph mmoja wa wagonjwa waliofika katika Hos...


HOSPITALI YA KAIRUKI YATOA HUDUMA ZA AFYA YA MACHO BURE
 Daktari Bingwa wa magonjwa ya macho Dk. Mustafa Yusufali akimpima macho, Alphonce Joseph mmoja wa wagonjwa waliofika katika Hospitali ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es Salaam, ikiwa sehemu ya maadhimisho ya 18 ya Kumbukizi  ya  Hayati Prof. Hubert Kairuki, ambapo upimaji wa awali wa afya ya macho umefanyika kuanzia Februari 3-4 kwa gharama za hospitali hiyo pamoja na utoaji wa miwani ya kusomea na upasuaji mdogo bure.

 Daktari Bingwa wa magonjwa ya macho Dk. Mustafa Yusufali akimpima macho, Alphonce Joseph mmoja wa wagonjwa waliofika katika Hospitali ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es Salaam, ikiwa sehemu ya maadhimisho ya 18 ya Kumbukizi  ya  Hayati Prof. Hubert Kairuki. 
Muuguzi wa Hospitali ya Kairuki Mikochezni jijini Dar es Salaam, Athuma Makolela akichukua maelezo ya mmoja wa wagonjwa wa macho waliofika hospitalini hapo kupata huduma zilizokuwa zikitolewa kwa gharama za hospitali hiyo. 
 Dk. Kenneth Munanu akimpima macho mgonjwa aliyefika katika hospitali ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es Salaam.
 Dk. Kenneth Munanu akimpima macho mgonjwa aliyefika katika hospitali ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es Salaam.
 Dk. Kenneth Munanu akimpima macho mgonjwa aliyefika katika hospitali ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es Salaam.
 Dk. Kenneth Munanu akimpima macho mgonjwa aliyefika katika hospitali ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es Salaam.
 Dk. Kenneth Munanu akimpima macho mgonjwa aliyefika katika hospitali ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakipata hudumza za matibabu ya Afya ya Macho katika hospitali ya Kiruki Mikocheni. Huduma hizo zimegharamiwa na hosptali hiyo.   
 Wagonjwa wakisubiri kupata huduma.
 Mgonjwa akipima macho.
 Regina Shadrack akipimwa macho.
 Huduma zikiendelea.
 
Wananchi wakisubiri kupata huduma.
 
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: HOSPITALI YA KAIRUKI YATOA HUDUMA ZA AFYA YA MACHO BURE
HOSPITALI YA KAIRUKI YATOA HUDUMA ZA AFYA YA MACHO BURE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJJFL2BlBTNeNo-XU9iWiYytjSGrJpvXT7KXNs9zTgvNXAM6bf7IFoCIucEtg02ejB2ZqtfF6-mtvu27El-u1EwkSS2Mb9qoHsK_FKtrRmbSAvUqt2uqCTqlahT00Ge-x3jxUZop4x9nZX/s640/8H3H0186.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJJFL2BlBTNeNo-XU9iWiYytjSGrJpvXT7KXNs9zTgvNXAM6bf7IFoCIucEtg02ejB2ZqtfF6-mtvu27El-u1EwkSS2Mb9qoHsK_FKtrRmbSAvUqt2uqCTqlahT00Ge-x3jxUZop4x9nZX/s72-c/8H3H0186.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/02/hospitali-ya-kairuki-yatoa-huduma-za.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/02/hospitali-ya-kairuki-yatoa-huduma-za.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy