WAZIRI MKUU AMJULIA HALI MAJIMAREFU KAIRUKI HOSPITALI
HomeJamii

WAZIRI MKUU AMJULIA HALI MAJIMAREFU KAIRUKI HOSPITALI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani ambaye amelazwa katika hospitali ya K...

WAZIRI MKUU AWASILI TOKEA NCHINI CANADA
VIJANA WAJADILI MASWALA YA UCHUMI, DEMOKRASIA NA MAENDELEO KITAIFA DAR ES SALAAM
MESSAGE FROM DG OF UNESCO, ON THE OCCASION OF THE INTERNATIONAL DAY TO END IMPUNITY FOR CRIMES AGAINST JOURNALISTS




Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani ambaye amelazwa katika hospitali ya Kairuki, Mikocheni jijini Dar es salaam akitibiwa Januari 2, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemtembelea na kumpa pole Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mhe. Steven Ngonyani (Profesa Majimarefu) aliyelazwa katika Hospitali ya Kairuki akipatiwa matibabu.
Akiwa hospitalini hapo leo (Jumatatu, Januari 2, 2017), Waziri Mkuu amesema amefurahi baada ya kumkuta Mbunge huyo anaendelea vizuri na kwamba afya yake inaridhisha.

Waziri Mkuu ametumia fursa hiyo kumtakia afya njema Mhe. Ngonyani. Amesema anaamini hivi karibuni atapona na kuruhusiwa kutoka hospitali.
Kwa upande wake Mbunge huyo ambaye amelazwa katika hospitali ya Kairuki iliyoko Mikocheni jijini  Dar es Salaam, amemshukuru Waziri Mkuu kwa kwenda kumjulia hali.

Pia amesema anaendelea vizuri na anatarajia kwenda nchini India kwa matibabu zaidi mara taratibu zitakapokamilika.
 IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
2 MTAA WA MAGOGONI,
S.  L. P. 3021,
JUMATATU, JANUARI 2, 2017.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAZIRI MKUU AMJULIA HALI MAJIMAREFU KAIRUKI HOSPITALI
WAZIRI MKUU AMJULIA HALI MAJIMAREFU KAIRUKI HOSPITALI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgtkuJLDRkBCs9hDVNRsD0RzAYmXae42t30b0ckZPjIa0b0YwuyRXQ1mN81CBpyOI9x7LRCFLVd6FAvxX1-d51oHHTekl9Jo4zZ7LUkloMHZSFv2MlQaHxFo6O5BjFjW5lmXk-mXfPxc1BY/s640/IMGM9911.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgtkuJLDRkBCs9hDVNRsD0RzAYmXae42t30b0ckZPjIa0b0YwuyRXQ1mN81CBpyOI9x7LRCFLVd6FAvxX1-d51oHHTekl9Jo4zZ7LUkloMHZSFv2MlQaHxFo6O5BjFjW5lmXk-mXfPxc1BY/s72-c/IMGM9911.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/01/waziri-mkuu-amjulia-hali-majimarefu.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/01/waziri-mkuu-amjulia-hali-majimarefu.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy