WAJUMBE WA KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) WAPIGWA MSASA KUHUSU MAJUKUMU YA BENKI KUU YA TANZANIA (BoT)
HomeUchumi

WAJUMBE WA KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) WAPIGWA MSASA KUHUSU MAJUKUMU YA BENKI KUU YA TANZANIA (BoT)

Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Naghenjwa Livingstone Kaboyoka (Mb) (Kulia) akiwaeleza Wajumbe wa Kam...



Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Naghenjwa Livingstone Kaboyoka (Mb) (Kulia) akiwaeleza Wajumbe wa Kamati yake kuhusu mada zinazojadiliwa katika Mafunzo ya kuwajengea Uwezo kwa wajumbe hao kuhusu majukumu ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT) yaliyowakutanisha wajumbe wa Kamati hiyo leo 13 Januari, 2017 katika Ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini Dar es Salaam.
 
Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Dkt. Natu Mwamba (mwenye kilemba) akiwafafanulia Wajumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali kuhusu majukumu ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kabla ya kuanza uwasilishwaji mada wakati wa mafunzo yaliyowakutanisha Wajumbe wa Kamati hiyo leo 13 Januari, 2017 katika Ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) wakifuatilia mada kuhusu majukumu mbalimbali ya Benki ya Tanzania (BoT) zikizowasilishwa na baadhi ya Wajumbe wa Kamati hiyo wakati walipohudhuria mafunzo ya kuwajengea uwezo toka BOT yaliyofanyika leo 13 Januari, 2017 katika Ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Wajumbe Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiwasilisha mada kuhusu majukumu mbalimbali ya Benki ya Tanzania (BOT) mbele ya Mwenyekiti na naibu Gavana wa BoT leo 13 Januari, 2017 katika Ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini Dar es Salaam. (PICHA ZOTE NA OFISI YA BUNGE-DAR ES SALAAM)
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAJUMBE WA KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) WAPIGWA MSASA KUHUSU MAJUKUMU YA BENKI KUU YA TANZANIA (BoT)
WAJUMBE WA KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) WAPIGWA MSASA KUHUSU MAJUKUMU YA BENKI KUU YA TANZANIA (BoT)
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiPbNlE2-CUu6g0h4Wu629l0w8dbUpmfSgSWs2SVQfPUfr_JgQA8y5O4za-LBmvvtjNZLtzEAedX0fscNqHjYt96ereU6rtBtboH-d0ck44JpXd3JFmMLIa6b_CbX5p9__O4jG-eeZgB5s/s640/asu.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiPbNlE2-CUu6g0h4Wu629l0w8dbUpmfSgSWs2SVQfPUfr_JgQA8y5O4za-LBmvvtjNZLtzEAedX0fscNqHjYt96ereU6rtBtboH-d0ck44JpXd3JFmMLIa6b_CbX5p9__O4jG-eeZgB5s/s72-c/asu.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/01/wajumbe-wa-kamati-ya-hesabu-za-serikali.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/01/wajumbe-wa-kamati-ya-hesabu-za-serikali.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy