MH. LOWASSA AANZA KUKUMBANA NA NGUVU YA DOLA, AKAMATWA NA POLISI MKOANI GEITA, AACHIWA BAADA YA KUHOJIWA
HomeJamii

MH. LOWASSA AANZA KUKUMBANA NA NGUVU YA DOLA, AKAMATWA NA POLISI MKOANI GEITA, AACHIWA BAADA YA KUHOJIWA

NA K-VIS BLOG ALIYEKUWA Mgombea kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri Mkuu mstaafu, Bw. Edward L...

SERIKALI YAHIMIZA UNAWAJI MIKONO NA SABUNI
MHE. MAJALIWA ASISITIZA UMUHIMU WA UAMINIFU KULETA MAFANIKIO
SPIKA NDUGAI AKIWA KATIKA MKUTANO WA 137 WA UMOJA WA MABUNGE DUNIANI ULIOFANYIKA LEO KATIKA JIJI LA ST. PETERSBURG, URUSI




NA K-VIS BLOG
ALIYEKUWA Mgombea kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri Mkuu mstaafu, Bw. Edward Lowassa, amekamatwa na polisi mkoani Geita akiwa njiani kuelekea kwenye mkutano wa kampeni za udiwani kata ya Nkome mkoani hum oleo Januari 16, 2017.
Taarifa kutoka Geita zinasema, pamoja na Bw. Lowassa, Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Geita, Bi. Upendo Furaha Peneza, naye pia amekamatwa. Bi Peneza alikuwa kwenye msafara wa Bw. Lowassa.
Taarifa zaidi zinasema, Bw. Lowassa alikumbana na “mkono wa dola” baada ya kusimamishwa na wananchi waliokuwa wamejipanga pembezoni mwa barabara na hapo msafara wake ulisimama na kuanza kuwasalimia, kitendo ambacho wapasha habari wanasema kiliwafanya polisi kumtia mbaroni na kuamuru msafara wake uelekee kituo cha polisi.
“Msafara wa Bw. Lowassa ulikuwa ukitokea moani Kagera na ulipofika stendi ya zamani Geita wananchi wakamsimamisha, aliposhuka kwenye gari kuwasalimu wanageita, polisi wakamkamata na kumpeleka kituo cha Polisi Geita.” Mmoja wa mashuhuda alisema.

Taarifa zilizopatikana baadaye zinasema, Bw. Lowassa ameachiwa huru baada ya kuhojiwa na polisi na msafara wake sasa umeelekea mkoani Mwanza.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MH. LOWASSA AANZA KUKUMBANA NA NGUVU YA DOLA, AKAMATWA NA POLISI MKOANI GEITA, AACHIWA BAADA YA KUHOJIWA
MH. LOWASSA AANZA KUKUMBANA NA NGUVU YA DOLA, AKAMATWA NA POLISI MKOANI GEITA, AACHIWA BAADA YA KUHOJIWA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgh6twG9ZLXy7KN8_u47WFRSM-UxpiP13mmhVP9niKqgtJ2CM7v9y_QUqj583aCLLKoWKE7aaxE-5_9qOcuWpMuAeRCB3b5cE20I_5WdLR_UbFRex58n0E3WbTX1dwBIx8nVWO8rPrz0-c/s640/Lowassa.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgh6twG9ZLXy7KN8_u47WFRSM-UxpiP13mmhVP9niKqgtJ2CM7v9y_QUqj583aCLLKoWKE7aaxE-5_9qOcuWpMuAeRCB3b5cE20I_5WdLR_UbFRex58n0E3WbTX1dwBIx8nVWO8rPrz0-c/s72-c/Lowassa.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/01/mh-lowassa-aanza-kukumbana-na-nguvu-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/01/mh-lowassa-aanza-kukumbana-na-nguvu-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy