MAMIA WAMUAGA RUBANI NA MTENDAJI MSTAAFU WA WAKALA WA NDEGE ZA SERIKALI MAREHEMU KENAN MHAIKI

MAMIA WAMUAGA RUBANI NA MTENDAJI MSTAAFU WA WAKALA WA NDEGE ZA SERIKALI MAREHEMU KENAN MHAIKI Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni na...


MAMIA WAMUAGA RUBANI NA MTENDAJI MSTAAFU WA WAKALA WA NDEGE ZA SERIKALI MAREHEMU KENAN MHAIKI

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akiaga mwili wa marehemu Kenan Mhaiki Rubani Mstaafu na Mtendaji wa wakala wa ndege za serikali (TGFA) ambaye aliwahi kuwandesha marais wa Tanzania wakati wa shughuli ya kuaga mwili wake iliyofanyika nyumbani kwake Kunduchi, jijini Dar es Salaam Januari 2 2017. Mwili wa marehemu umesafirishwa kwenda Songea Mjini jana Mkoani Ruvuma kwa mazishi yanayotayarajiwa kufanyika leo Januari 4, Makaburi ya Matogoro. (Imeandaliwa na Robert Okanda blogspot) 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Leonard Chamriho akitoa salamu kwa niaba ya serikali wakati wa ibada ya misa na shughuli ya kumuaga Rubani na Mtendaji mkuu wa wakala wa ndege za serikali (TGFA) marehemu Kenan Paul Mhaiki shughuli iliyofanyika nyumbani kwake Kunduchi Dar es Salaam Januari 2 2017.Mwili wa marehemu umesafirishwa jana na kwenda Songea mjini Mkoani Ruvuma kwa mazishi yanayotarajiwa kufanyika leo Januari 4 2017 kwenye makaburi ya Matogoro.
Katibu Mkuu Kiongozi wa zamani, Balozi Ombeni Sefue akitoa heshima za mwisho kwa marehemu Kenani Mhaiki Rubani Mstaafu wa ndege za marais wa Tanzania wakati wa shughuli ya kuaga mwili wake iliyofanyika Kunduchi, jijini Dar es Salaam jana. Mwili wa marehemu umesafirishwa jana kwenda Mkoani Ruvuma kwa mazishi yanayotayarajiwa kufanyika Januari 4 2017. soma zaidi hapa
Jeneza lenye mwili wa marehemu Kenan Mhaiki likitolewa nje ya nyumba kwa ibada ya misa na kuagwa.

Watoto wa marehemu Kenan Mhaiki.


Msomaji wa somo katika ibada hiyo.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.


Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Gaspar Mbezi Beach, akimpa ekarist takatifu Mary Mhaiki mjane wa Kenan Mhaiki wakati wa ibada ya kuaga.

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA) Raymond Musingi akitoa salamu za pole kwa wafiwa.

Mkurugenzi Mkuu wa Usafiri wa Anga (TCAA) Hanza Johari  akitoa salamu za pole kwa wafiwa.

Mwendesha shughuli hiyo akito mwongozo wa utaratibu wa kuaga.

Mheshimiwa Vita Kawawa akitoa mkono wa pole kwa wafiwa.

Waombolezaji wakimpa mkono wa pole Kaka mkubwa wa Kenan,

Wombolezaji wakitoa mkono wa pole kwa wafiwa.



Wombolezaji wakitoa mkono wa pole kwa wafiwa.

Mjane Mama Mary Kenan (katikati) akifarijiwa na dada na ndugu wa karibu.

Wombolezaji wakitoa mkono wa pole kwa wafiwa.

Wombolezaji wakitoa mkono wa pole kwa wafiwa.

Wombolezaji wakitoa mkono wa pole kwa wafiwa.


Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Gaspar Mbezi Beach, Padri Patrick Kimaro akiaga baada ya kumaliza ibada ya kabla ya misa.

Kaka wa Marehemu Oliver Peter Mhaiki akisoma wosia wa mwisho wa mdogoye Kenan.



Wombolezaji wakijiandaa kwenda kuaga.

Wombolezaji wakitoa mkono wa pole kwa wafiwa.

Wombolezaji wakitoa mkono wa pole kwa wafiwa.

Sehemu ya waombolezaji wakiaga kwa majonzi.

Kaka wa Marehemu Oliver Peter Mhaiki akimuaga mdogoye Kenan.

Watoto wa marehemu Kenan Paul Mhaiki Rubani Mstaafu wa ndege za marais wa Tanzania wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa baba yao wakati wa shughuli ya kuaga mwili wake iliyofanyika Kunduchi, jijini Dar es Salaam Januari 2 2017. Mwili wa marehemu umesafirishwa leo kwenda Songea Mjini Mkoani Ruvuma kwa mazishi yanayotayarajiwa kufanyika makaburi ya Matogoro mkoani humo Januari 4 2017.

Sehemu ya watoto wa marehemu Kenan Paul Mhaiki Rubani Mstaafu wa ndege za marais wa Tanzania wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa baba yao wakati wa shughuli ya kuaga mwili wake iliyofanyika Kunduchi, jijini Dar es Salaam Januari 2 2017. Mwili wa marehemu umesafirishwa leo kwenda Songea Mjini Mkoani Ruvuma kwa mazishi yanayotayarajiwa kufanyika makaburi ya Matogoro mkoani humo Januari 4 2017

Mjane mama Mary Kenan akiaga.

Mjane mama Mary Kenan (kulia) akifarijiwa na dadake.

Viongozi mbalimbali wa sasa na wastaafu wakiwa katika shughuli ya kuaga.

Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Gaspar Mbezi Beach,Padri Patrick Kimaro akitoa mahubiri wakati wa ibada ya kabla ya kuaga.

Wanakwaya ya Mtakatifu Gaspar wakiimba nyimbo za maobolezo katika ibada ya kuaga.


Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Gaspar Mbezi Beach,Padri Patrick Kimaro akiongoza ibada ya misa kabla ya shughuli ya kuaga.

Watoto wa marehemu Kenan Paul Mhaiki wakiongoza msafara wa kuutoa mwili wa baba yao nje ya nyumba tayari kwa ibada na shughuli ya kuaga.

Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Gaspar wa Bufalo Mbezi Beach, Padri Patrick Kimaro akibariki jeneza lenye mwili wa marehemu wakati wa kuanza kwa ibada ya misa ya kumwombea marehemu Kenan Mhaiki.

Sehemu ya waombolezaji wakifuatilia ibada wakati wa shughuli ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wakifuatilia ibada wakati wa shughuli ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wakifuatilia ibada wakati wa shughuli ya kuaga.



Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akisaininkiatbu cha maombolezo alipowasili nyumbani kwa marehemu Kenan Mhaiki Rubani Mstaafu wa ndege za marais wa Tanzania wakati wa shughuli ya kuaga mwili wake iliyofanyika Kunduchi, jijini Dar es Salaam Januari 2 2017

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akilakiwa na Mwenyekiti wa Chama cha CCK, Constatine Akitanda (kulia) alipokwenda kwenye ibada na shuguli ya kuaga mwili wa marehemu Kenan Mhaiki Rubani Mstaafu wa ndege za marais wa Tanzania wakati wa shughuli ya kuaga mwili wake iliyofanyika Kunduchi, jijini Dar es Salaam Januari 2 2017.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Mmoja wa waombolezaji akisaini kitabu cha maombolezo.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akisalimiana na viongozi wastaafu baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu Kenan Mhaiki Rubani Mstaafu wa ndege za marais wa Tanzania wakati wa shughuli ya kuaga mwili wake iliyofanyika Kunduchi, jijini Dar es Salaam Januari 2 2017


Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.

Sehemu ya waombolezaji wa shughuli hiyo ya kuaga.




Mkuu wa Chuo Taifa cha Usafirishaji, Mhandisi Dkt. Zacharia Mganilwa (kulia) akimpa mkono wa pole Oliver Paul Mhaiki kaka mkubwa wa Kenan Mhaiki.





Mkurugenzi Mtendaji wa Shirikisho la Viwanda Nchini, Leodegar Tenga (kulia) akimpa mkono wa pole Oliver Paul Mhaiki kaka mkubwa wa Kenan Mhaiki.





Mmoja wa waombolezaji akisaidiwa baada ya kupoteza fahamu alipomaliza kuaga.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MAMIA WAMUAGA RUBANI NA MTENDAJI MSTAAFU WA WAKALA WA NDEGE ZA SERIKALI MAREHEMU KENAN MHAIKI
MAMIA WAMUAGA RUBANI NA MTENDAJI MSTAAFU WA WAKALA WA NDEGE ZA SERIKALI MAREHEMU KENAN MHAIKI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjYU_aGsi9curRe2PwDJfD-bd5HJcZRUfd-5m4qfWbY_vsD0AkjBTIMo7lKnYzicIA6brAPcwHOczDxTv5JXI93BHhpTDV2fcXTgRgdUXyCmyHfw6omEbM16Qc8HADIeG2niL6NG8CRMkQ/s640/M51.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjYU_aGsi9curRe2PwDJfD-bd5HJcZRUfd-5m4qfWbY_vsD0AkjBTIMo7lKnYzicIA6brAPcwHOczDxTv5JXI93BHhpTDV2fcXTgRgdUXyCmyHfw6omEbM16Qc8HADIeG2niL6NG8CRMkQ/s72-c/M51.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/01/mamia-wamuaga-rubani-wa-marais-mbowe.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/01/mamia-wamuaga-rubani-wa-marais-mbowe.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy