Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) George Simbachawene akizindua kitabu cha Mwongozo wa...
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
George Simbachawene akizindua kitabu cha Mwongozo wa Taifa wa
Utekelezaji wa Sera za Huduma kwa watoto waliokatika mazingira hatarishi
kwa Serikali za Mitaa leo jijini Dar es Salaam. Wanaoshuhudia tukio
kutoka kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Misaada na Maendeleo la
Marekani (USAID) nchini Tanzania Tim Donnay, Katibu Tawala wa Mkoa wa
Dar es Salaam Theresia Mmbando, Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais
Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI Dkt. Zainab Chaula.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Theresia Mmbando akimkabidhi
Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam kitabu cha Mwongozo wa Taifa wa
Utekelezaji wa Sera za Huduma kwa Watoto waliokatika mazingira hatarishi
kwa Serikali za Mitaa leo jijini Dar es Salaam. Wanaoshuhudia tukio
hilo ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za
Mitaa (TAMISEMI) George Simbachawene na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya
Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI Dkt. Zainab Chaula
(wa pili kulia).
Baadhi ya washiriki wa mkutano baina ya USAID na TAMISEMI uliofanyika katika ofisi za TAMISEMI jijini Dar es Salaam wakifuatilia hoja kutoka kwa wasilishaji wa mada leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu wa Sekta kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Dkt. Andrew Komba akichangia mada wakati wa mkutano baina ya TAMISEMI na USAID kuhusu Afya ya mama na motto leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) George Simbachawene akiteta jambo na Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Misaada na Maendeleo la Marekani (USAID) nchini Tanzania Tim Donnay mara baada ya kumaliza mkutano kuhusu Afya ya Mama na Mtoto leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) George Simbachawene akiwa katika picha ya pamoja washiriki wa mkutano baina ya TAMISEMI na USAID kuhusu Afya ya mama na mtoto leo jijini Dar es Salaam.Kutoka Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki, Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Misaada na Maendeleo la Marekani (USAID) nchini Tanzania Tim Donnay, Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI Dkt. Zainab Chaula na Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Theresia Mmbando.
Picha zote na: Frank Shija – MAELEZO.
COMMENTS