MAFUNZO YA BIASHARA KWA VIJANA, FURSA PAMOJA NA TARATIBU ZA SHERIA ZA KUFANYA BIASHARA NDANI YA SOKO LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI YAFUNGULIWA DAR
HomeBiashara

MAFUNZO YA BIASHARA KWA VIJANA, FURSA PAMOJA NA TARATIBU ZA SHERIA ZA KUFANYA BIASHARA NDANI YA SOKO LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI YAFUNGULIWA DAR

  Afisa Mradi, Kitengo cha Kujenga Uwezo kutoka shirika lisilo la Kiserikali la  ‘The Foundation For Civil Society’ Nasim Losai, aki...







 Afisa Mradi, Kitengo cha Kujenga Uwezo kutoka shirika lisilo la Kiserikali la  ‘The Foundation For Civil Society’ Nasim Losai, akifungua rasmi Mafunzo ya siku tatu ya Biashara kwa Vijana , Fursa za Vijana pamoja na Taratibu na Sheria za kufanya Biashara ndani ya Soko Jumuiya ya Afrika Mashariki. Mafunzo hayo yaliyoshirikisha Vijana wajasiliamali kutoka Mikoa mbalimbali ya Tanzania yanatarajia kumalizika keshokutwa Nov 23, 2016. 

 Sehemu ya Washiriki wakisikiliza kwa makini wakati wa ufunguzi huo.


Sehemu ya Washiriki wakisikiliza kwa makini wakati wa ufunguzi huo.
 Sehemu ya Washiriki wakisikiliza kwa makini wakati wa ufunguzi huo.
 Mkufunzi, Leons Mtana, akitoa mada yake ya kuendeleza uwezo wa Mjasiliamali.
 Mafunzo yakiendelea.....
 Mkufunzi akiendelea kumwaga nondozzzz
 Meza Kuu wakifuatilia mada....zilizokuwa zikitolewa ukumbuni hapo


Mkufunzi na mmoja kati ya waratibu wa mafunzo hayo, Mwajuma Hamza, akitoa mada wakati wa mafunzo hayo yaliyoanza leo Nov 21, 2016 kwenye Hoteli ya BluePearl Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam. Mafunzo hayo yanatarajia kumalizika Nov 23.
 Mwezeshaji Peninnah Rashid Tenga, akiendelea kutoa mada ya somo lake wakati wa mafunzo hayo katika Hoteli ya Blue Pearl jijini Dar es Salaam.  
 Mwezeshaji Peninnah Rashid Tenga, akiendelea kutoa mada ya somo lake wakati wa mafunzo hayo katika Hoteli ya Blue Pearl jijini Dar es Salaam. 
 Waratibu wa Mafunzo hayo wakiwa katika picha ya pamoja na Washiriki baada ya ufunguzi rasmi. KUSOMA ZAIDI BOFYA READ MORE
 Mshiriki akichangia mada
  Mshiriki akichangia mada
 Washiriki wakishiriki katika somo la kuendeleza uwezo wa Mjasiliamali wakati wa mafunzo hayo kwa vitendo 
 Washiriki wakishiriki katika somo la kuendeleza uwezo wa Mjasiliamali wakati wa mafunzo hayo kwa vitendo 
 Mshiriki akichangia mada
  Mshiriki akichangia mada
 Washiriki wakiwa katika mafunzo hayo kwa vitendo.......
  Mshiriki akichangia mada
  Mshiriki akichangia mada
 Mafunzo yakiendelea.....
  Mshiriki akichangia mada
 Washiriki wakiwa bize kurekodi, kunakili kinachofundishwa....
  Mshiriki akichangia mada
 Washiriki wakiwa makini kusikiliza mada zilizokuwa zikitolewa ukumbini hapo
  Mshiriki akichangia mada
 Mkufunzi, Leons Mtana, akitoa mada yake ya kuendeleza uwezo wa Mjasiliamali.
  Mshiriki akichangia mada
  Washiriki wakiwa bize kurekodi, kunakili kinachofundishwa....
 Mkufunzi akiendelea kushusha nondozzzzz
  Washiriki wakiwa bize kufuatilia kinachofundishwa....
  Washiriki wakiwa bize kurekodi, kunakili kinachofundishwa....
  Washiriki wakiwa bize kurekodi, kunakili kinachofundishwa....
  Washiriki wakiwa bize kurekodi, kunakili kinachofundishwa....
Washiriki wakijigawa katika makundi kuanza somo kwa vitendo
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MAFUNZO YA BIASHARA KWA VIJANA, FURSA PAMOJA NA TARATIBU ZA SHERIA ZA KUFANYA BIASHARA NDANI YA SOKO LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI YAFUNGULIWA DAR
MAFUNZO YA BIASHARA KWA VIJANA, FURSA PAMOJA NA TARATIBU ZA SHERIA ZA KUFANYA BIASHARA NDANI YA SOKO LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI YAFUNGULIWA DAR
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEix-pOUWQcqrwSRlG8o_RyZZ601291F6CVgP4LMm6yBqICPZIqVWXFvdH0WLAiqbEwSuYyl9WMWddKJ5Ug8MBI6MU3InIs7ETeJlArHjkJRGUIAAm6E79gYbYQfGOSVqEwxdd9U_Sht3GQZ/s640/01.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEix-pOUWQcqrwSRlG8o_RyZZ601291F6CVgP4LMm6yBqICPZIqVWXFvdH0WLAiqbEwSuYyl9WMWddKJ5Ug8MBI6MU3InIs7ETeJlArHjkJRGUIAAm6E79gYbYQfGOSVqEwxdd9U_Sht3GQZ/s72-c/01.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/11/mafunzo-ya-biashara-kwa-vijana-fursa.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/11/mafunzo-ya-biashara-kwa-vijana-fursa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy