Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Arusha DC wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha, Fidelis Lumato akizungumza wakati wa kikao cha Ba...
|
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Arusha DC wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha, Fidelis Lumato akizungumza wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani. Kulia ni Mwenyekiti wa halmashauri, Noah Sapuk |
|
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Arusha DC, Noah Sapuk akizungumza kwenye kikao cha baraza la madiwani. |
|
Baadhi ya madiwani wa halmashauri ya Arusha DC wakifatilia mijadala kwenye kikao hicho. |
|
Baadhi ya watumishi wa halmashauri hiyo wakiwa kwenye kikao kujibu hoja mbalimbali kutoka kwa madiwani. |
|
Baadhi ya watumishi wa halmashauri hiyo wakiwa kwenye kikao kujibu hoja mbalimbali kutoka kwa madiwani. |
|
Diwani wa Viti Maalumu katika halmashauri ya Arusha DC, Nuru Ndossy akichangia hoja. |
|
Diwani wa Kata ya Mateves, Julius Mollel akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani. |
COMMENTS