THOMAS MASHALI KUZIPIGA NA MADA MAUGO NANE NANE UWANJA WA TAIFA Rais wa TPBO Yassin Abdallah 'Ostadhi' akiw...
THOMAS MASHALI KUZIPIGA NA MADA MAUGO NANE NANE UWANJA WA TAIFA
Rais wa TPBO Yassin Abdallah 'Ostadhi'
akiwainua mikono juu mabondia Mada Maugo kushoto na Thomas Mashali
baada ya kusaini mkataba wa makubaliano wa kupambana Sikukuu ya Nanenane
(8/8/2014) katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam wakati wa
tamasha la usiku wa matumaini lililoandaliwa na kampuni ya global
publisher.
Rais wa TPBO Yassin Abdallah 'Ostadhi'
kushoto akimkabidhi sehemu ya fedha kidogo bondia Mada Maugo kwa ajili
ya maandalizi ya mpambano wake na Thomas Mashali utakaofanyika Agost 8 katika uwanja wa
taifa Dar es Salaam wakati wa tamasha la matumaini siku ya Sikukuu ya
Nanenane lililoandaliwa na kampuni ya global publisher. (Picha na www.superdboxingcoach. blogspot.com)
COMMENTS