PAMBANO LA NGUMI KUFANYIKA MKWAKWANI TANGA MEI 2

Na Mwandishi Wetu   Bondia Alen Kamote wa Tanga atapanda ulingoni Mei 2 katika uwanja wa Mkwakwani Tanga kukabiliana na E...








Na Mwandishi Wetu
 
Bondia Alen Kamote wa Tanga atapanda ulingoni Mei 2 katika uwanja wa Mkwakwani Tanga kukabiliana na Emilio Norfat katika mpambano wa raundi 12. Mbali na mpambano huo siku hiyo pia kutakuwa na mapambano mengine makali moja ya mpambano wenye mvuto zaidi ni kati ya bondia mwenye makazi yake mkoa wa Morogoro Cosmas Cheka atakayekabiliana na Said Mundi kutoa mkoa wa Tanga
 
Promota wa mpambano huo Ally Mwazoa aliongeza kwa kusema mbali na mapambano hayo kutakuwa na mapambano mengine yatakayowakutanisha  Jacobo Maganga na Fadhili Kea wakati Juma Mustafa akipambana na Ally Magoma uku Saimon Zabroni akioneshana umwamba na Hamisi Mwakinyo
na Jumanne Mohamed na Bakari Shendekwa na Zuber Kitandura na Rajabu Mahoja

Mpambano huo unafanyika mkoa wa Tanga baada ya kutopata burudani ya mchezo wa masumbwi kwa kipindi cha muda mrefu kidogo hivyo mpambano huo utafuraiwa na wakazi wa Tanga na vitongoji vyake

Siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za ngumi  mabingwa wa Dunia akiwemo Manny Paquaio, Floyd Maywether, Roy Jones, Miguel Cotto, Linox Lewis, David Haye, Mohamed Ali
na wengine wengi DVD hizo zilizoandaliwa kwa ubora wa hali ya juu zitakuwa zikiuzwa kwenye mpambano huo na Kocha wa Kimataifa wa mchezo huo. Rajabu Mhamila ‘Super D’, alisema.
 Pia kutakuwa na DVD ili kuweza kuwauzia mashabiki kwa ajili ya kujifunza Kanuni na Sheria za mchezo huo.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: PAMBANO LA NGUMI KUFANYIKA MKWAKWANI TANGA MEI 2
PAMBANO LA NGUMI KUFANYIKA MKWAKWANI TANGA MEI 2
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj40TEdnbAo8ZHeaflg2ODC4mITrrR3eqj0gfAS9s9eIVW1VwOHkGqU3fHjpjB2w5AAF4pyJqsPSJCS3t4LCJv7j49BdIyOUyEyofBZkFin94XALS4IQpOeqSCqe6fSrwwfLnAB1-iISJc/s1600/MWAZOA.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj40TEdnbAo8ZHeaflg2ODC4mITrrR3eqj0gfAS9s9eIVW1VwOHkGqU3fHjpjB2w5AAF4pyJqsPSJCS3t4LCJv7j49BdIyOUyEyofBZkFin94XALS4IQpOeqSCqe6fSrwwfLnAB1-iISJc/s72-c/MWAZOA.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2015/04/pambano-la-ngumi-kufanyika-mkwakwani.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2015/04/pambano-la-ngumi-kufanyika-mkwakwani.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy