WANAWAKE WA BAM INTERNATIONAL WAPIGWA MSASA WALIPOADHIMISHA SIKUKUU YA KIMATAIFA YA MWANAMKE DUNIANI

  Meneja Mahusiano na Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya BAM International, Noreen Mazalla akiongea machache kumkaribisha mgeni rasm...





 Meneja Mahusiano na Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya BAM International, Noreen Mazalla akiongea machache kumkaribisha mgeni rasmi, Mmiliki na Mhariri wa Gazeti la Bang, Imelda Mwamanga kuzunguza na wafanyakazi wanawake wa kampuni hiyo kuwahamasisha na kuwapa motisha wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya Mwanamke duniani kwenye ufukwe wa Escape one jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Daktari Bingwa wa Maswala ya Uzazi kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Janerose Manyahi na Mmiliki na Mhariri wa Gazeti la Bang, Imelda Mwamanga. (Imeandaliwa na Robert Okanda Blogs)

 Mmiliki na Mhariri wa Gazeti la Bang, Imelda Mwamanga akiwaonesha moja ya machapisho ya gaeti la Bhang wafanyakazi wanawake wa kampuni hiyo alipokuwa akizungumza nao kuwahamasisha na kuwapa motisha kujiamini na kuthamini uwezo wao wa kufanya kazi wakati wa sherehe ya siku ya Mwanamke duniani walivyoidhaminisha kwenye ufukwe wa Escape one jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Daktari Bingwa wa Maswala ya Uzazi kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Janerose Manyahi na Meneja Mahusiano na Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya BAM International Noreen Mazalla.



Sehemu ya wafanyakazi wa kampuni hiyo wakifuatilia mada wa wakati wa maadhimisho ya sherehe ya siku ya mwananke duniani mwishoni mwa wiki.


Sehemu ya wafanyakazi wa kampuni hiyo wakimsikiliza mtoa mada wakati wa maadhimisho ya sherehe ya siku ya mwananke duniani mwishoni mwa wiki.


 Mmiliki na Mhariri wa Gazeti la Bang, Imelda Mwamanga akizunguza na wafanyakazi wanawake wa kampuni hiyo kuwahamasisha na kuwapa motisha wa kujiamini na kuthamini uwezo wao wa kufanya kazi kama washindi wakati wa sherehe ya siku ya Mwanamke duniani walivyoidhaminisha kwenye ufukwe wa Escape one jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Daktari Bingwa wa Maswala ya Uzazi kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Janerose Manyahi na Meneja Mahusiano na Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya BAM International, Noreen Mazalla.

  
Sehemu ya wafanyakazi wa kampuni hiyo wakimsikiliza mtoa mada wakati wa maadhimisho ya sherehe ya siku ya mwananke duniani mwishoni mwa wiki.




 Daktari Bingwa wa Maswala ya Uzazi kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Janerose Manyahi akitoa mada kwa wafanyakazi wanawake wa kampuni hiyo kuhusiana na afya ya uzazi, hususani kansa ya kizazi wakati wa sherehe ya siku ya Mwanamke duniani walivyoidhaminisha kwenye ufukwe wa Escape one jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kulia ni Meneja Mahusiano na Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya BAM International, Noreen Mazalla na Mmiliki na Mhariri wa Gazeti la Bang, Imelda Mwamanga.



Sehemu ya wafanyakazi wa kampuni hiyo wakimsikiliza afisa Mtendaji Mkuu wa BAM International alipotoa ujumbe kwa njia ya televisheni wakati wa wakati wa maadhimisho ya sherehe ya siku ya mwananke duniani mwishoni mwa wiki.


 Daktari Bingwa wa Maswala ya Uzazi kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Janerose Manyahi (kushoto) na Meneja Mahusiano na Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya BAM International, Noreen Mazalla wakiwaongoza wafanyakazi wa kampuni hiyo kupata chakula cha mchana wakati wa maadhimisho ya sherehe ya siku ya mwananke duniani mwishoni mwa wiki.


Sehemu ya wahandisi wa Kampuni ya Bama International wakiwa katika picha ya pamoja.


 Sehemu ya wafanyakazi wa kampuni hiyo wakipata burudani wakati wa maadhimisho ya sherehe ya siku ya mwananke duniani mwishoni mwa wiki.


 Sehemu ya wafanyakazi wa kampuni hiyo wakiw katika picha ya pamoja wakati wa wakati wa maadhimisho ya sherehe ya siku ya mwananke duniani mwishoni mwa wiki.


COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WANAWAKE WA BAM INTERNATIONAL WAPIGWA MSASA WALIPOADHIMISHA SIKUKUU YA KIMATAIFA YA MWANAMKE DUNIANI
WANAWAKE WA BAM INTERNATIONAL WAPIGWA MSASA WALIPOADHIMISHA SIKUKUU YA KIMATAIFA YA MWANAMKE DUNIANI
https://i.ytimg.com/vi/l1SLB2KluYE/hqdefault.jpg
https://i.ytimg.com/vi/l1SLB2KluYE/default.jpg
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2018/03/wanawake-wa-bam-international-wapigwa.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/03/wanawake-wa-bam-international-wapigwa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy