JAFO AAGIZA MATUMIZI YA ‘TILES’ KWENYE MAJENGO YA HALMASHAURI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jafo amewaagiza wahandisi wa ujenzi katika Halmashauri zote hapa nchini kuona uwezekano wa ...



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jafo amewaagiza wahandisi wa ujenzi katika Halmashauri zote hapa nchini kuona uwezekano wa kutumia Tiles badala ya kuweka sakafu ya kawaida ili kuongeza uimara na mandhari majengo hayo.


Waziri Jafo ametoa maelekezo hayo alipokuwa akikagua ujenzi wa madarasa na mabweni ya shule ya sekondari Hamza na miundombinu mbalimbali ya kituo cha afya cha zogolo yakiwepo majengo ya upasuaji, maabara, na wodi ambapo majengo yote ameyakuta yamejengwa vizuri sana kwa kuwekwa Tiles.


Ameeleza kwamba majengo mengi yanayojengwa na kuwekwa floor(sakafu) ya kawaida yanabomoka kwa muda mfupi na hivyo kuhitajika kufanyiwa ukarabati mara kwa mara.Waziri Jafo amesisitiza kwamba ujenzi wa kutumia Tiles kusaidia hata katika usafi wa majengo hayo.

Katika ziara hiyo, Waziri Jafo amewapongeza viongozi wa wilaya ya Nzega wakiwemo wabunge wao Hussein Bashe, Selemani Zedi, na Hamisi Kigwangwala kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kuwahudumia wananchi wao.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jafo akiwa na watendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Nzega mkoani Tabora katika ukaguzi wa miradi ya maendeleo.

Viongozi wa wilaya ya Nzega mkoani Tabora wakipata maelekezo ya matumizi ya Tiles kutoka kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jafo.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jafo akiwa na viongozi wa wilaya ya Nzega mkoani Tabora wakielekea kwenye kukagua jengo jipya la upasuaji katika Kituo cha Afya cha Zogolo.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: JAFO AAGIZA MATUMIZI YA ‘TILES’ KWENYE MAJENGO YA HALMASHAURI
JAFO AAGIZA MATUMIZI YA ‘TILES’ KWENYE MAJENGO YA HALMASHAURI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9ZaPRD0jOe4Vawx9QWGVi122bCOIV7MRx8HHRAnn3AAUfjwf6Ibo0XkCjiab6Burxl5AJHV0g26AyaK0Msl8CzbwSqCcGucgR6bgrj0KVm8Q3mml4imi2BWFfLytwqHCK_OdMQPyZ6SPN/s640/sele-1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9ZaPRD0jOe4Vawx9QWGVi122bCOIV7MRx8HHRAnn3AAUfjwf6Ibo0XkCjiab6Burxl5AJHV0g26AyaK0Msl8CzbwSqCcGucgR6bgrj0KVm8Q3mml4imi2BWFfLytwqHCK_OdMQPyZ6SPN/s72-c/sele-1.jpg
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/12/jafo-aagiza-matumizi-ya-tiles-kwenye.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/12/jafo-aagiza-matumizi-ya-tiles-kwenye.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy