WAZIRI LUKUVI AIFAGILIA PROPERTY INTERNATIONAL, MAONYESHO YA SABASABA

Na Ripota wa Mafoto Blog, Dar WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi, aifagilia Kampuni ya uuzaji, upimaji...







Na Ripota wa Mafoto Blog, Dar

WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi, aifagilia Kampuni ya uuzaji, upimaji na ukopeshaji Viwanja ya Property International, baada ya kutembelea katika Banda lao la maonyesho ya 41 ya Kimataifa ya Biashara Viwanja vya Mwalimu Nyerere, jijini Dar esSalaam, leo mchana.




 Akizungumza na baadhi ya waandishi wa habari baada ya kutembelea banda hilo, Lukuvi alisema kuwa Serikali haikufanya makosa waka kiini macho pale ilipotangaza kushusha bei ya tozo ya upimaji wa ardhi kwa asilimia 67 lengo ikiwa ni kila mwananchi awe katika makazi bora, kama ambavyo imekuwa ikifanya Kampuni hiyo kupima viwanja.
Aidha amesema tozo hizo zimeondolewa kuanzia Julai mosi hivyo taasisi za upimaji ardhi zitakazoendelea kuuza viwanja kwa gharama kubwa zitafutiwa vibali vya kufanya biashara hiyo. 
 Aidha Lukuvi alisema kuwa haitamvumilia mfanyabiashara yeyote asiyetekeleza agizo la serikali la kupunguza bei za upimaji kwakuwa mahitaji ya ardhi bora ya wananchi ni haki yao.
''Kuanzia Julai mosi tozo za gharama ya upimaji ardhi zimepunguzwa kwa asilimia 67 hivyo serikali inakusudia wananchi kuuziwa viwanja kwa bei nafuu.
 Waziri Lukuvi, akizungumza jambo na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Property International, Abdul Haleem, baada ya kutembelea Banda hilo.
*********************************************
"Tunaposema tumekusudia kila mwananchi kujenga katika ardhi bora tunamaanisha hivyo na nyie wafanyabiashara mkubali mabadiliko hatukupunguza asilimia 67 kwa bahati mbaya,"alisema Lukuvi


Aliongeza kuwa"Uzeni viwanja kwa sura ya ubinadamu na nyie Property hakikisheni 

mnafuatilia maeneo yaliyotengwa ili kuwa katika mpango miji,"alisema. 


Alitaja maeneo hayo kuwa ni Mtwara Musoma na Iringa.


 Abdul Haleem, akizungumza na waandishi wa habari


*******************************************
Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Property International, Abdulhaleem Zahran alisema kuwa amepokea na atayafanyia kazi maelekezo hayo ya Waziri na kumuahidi kuwa Kampuni hiyo itafanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na Serikali ili kuweza kuwafikia wananchi wa chini.
Alisema ardhi isiyopimwa ina gharama kubwa hivyo kampuni hiyo itashusha gharama za viwanja kulingana na mahitaji yaliyopo.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAZIRI LUKUVI AIFAGILIA PROPERTY INTERNATIONAL, MAONYESHO YA SABASABA
WAZIRI LUKUVI AIFAGILIA PROPERTY INTERNATIONAL, MAONYESHO YA SABASABA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAhlYDIuxo5DqplJr6IRV65MPE_dF7YtuGoIscdfEx_qhpK335P7vQVkb2oG8qJ30WNRJKjBWmYsZTncYVA5Ax_eEYQx9di5mZ5SfhV_7Tth_MO6khY6AW9BPLN1LgP9XXBZ6o3XI3LWI/s640/7B.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAhlYDIuxo5DqplJr6IRV65MPE_dF7YtuGoIscdfEx_qhpK335P7vQVkb2oG8qJ30WNRJKjBWmYsZTncYVA5Ax_eEYQx9di5mZ5SfhV_7Tth_MO6khY6AW9BPLN1LgP9XXBZ6o3XI3LWI/s72-c/7B.jpg
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/07/waziri-lukuvi-aifagilia-property.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/07/waziri-lukuvi-aifagilia-property.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy