Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk.Tulia Ackson akiongoza kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge ...
Naibu
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk.Tulia Ackson
akiongoza kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 Mjini
Dodoma Juni 06, 2017.
Naibu
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana na Ajira Mhe.Anthony Mavunde
akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 42 cha Mkutano wa
Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 6, 2017.
Waziri
wa Nchi Ofisi Ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Watu wenye
ulemavu Mhe.Jenista Mhagama akitolea ufafanuzi hoja mbalimbali za
wabunge katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 Mjini
Dodoma Juni 6, 2017.
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mwigulu Nchemba akijibu hoja mbalimbali za
wabunge katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 Mjini
Dodoma Juni 6, 2017.
Naibu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Khamis
Kigwangalla akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 42
cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Juni 6, 2017.
Naibu
Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Mhe.Edwin Ngonyani akijibu
maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa
Bunge la 11 Mjini Dodoma Juni 6, 2017.
Waziri
wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akijibu
maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa
Bunge la 11 Mjini Dodoma Juni 6, 2017.
Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mhe.Selemani Jafo akijibu maswali
mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge
la 11 Mjini Dodoma Juni 6, 2017.
Waziri
wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage akijibu maswali
mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge
la 11 Mjini Dodoma Juni 6, 2017.
Mbunge
wa Temeke (CUF) Mhe.Abdallah Mtolea katika kikao cha 42 cha Mkutano wa
Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma June 6, 2017.
Wanafunzi
wa Shule ya Msingi Southern Highland kutoka Iringa wakiwa Bungeni
kujifunza Shughuli mbalimbali katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa
Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 6, 2017.
Mbunge
wa Viti Maalum (CCM) Mhe.Jaquiline Ngonyani akiuliza swali katika kikao
cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Juni 6,
2017.
Mbunge
wa Viti Maalum (CCM) Mhe. Rose Tweve akiuliza swali katika kikao cha 42
cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Juni 6, 2017.
Waziri
wa Mambo ya Ndani Mhe.Mwigulu Nchemba akizungumza jambo na Waziri wa
Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe.January Makamba
katika kikao cha 42 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma
Juni 6, 2017.
( Picha zote na Daudi Manongi, MAELEZO,DODOMA)
COMMENTS