Baadhi ya waislamu wanaume waliohudhuria katika swala ya EId elfitri wakimsikiliza Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Fadhil Sor...
Baadhi
ya waislamu wanaume waliohudhuria katika swala ya EId elfitri wakimsikiliza
Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga aklipokuwa
akitoa khutba ya Swala ya El Idd elfitri iliyoswaliwa katika Uwanja wa Maisara
Suleiman Mjini Unguja katika kusherehekea Sikukuu ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa
Ramadhan.
Waislamu
wanawake wakiwa katika Swala ya Eid el fitri iliyoongozwa na Sheikh
Fadhil Soraga katika Uwanja wa Maisara Suleiman Mjni Unguja leo katika Mkoa wa
Mjini Magharibi ambapo Viongozi wa Kitaifa na Waislamu mbali mbali
walihudhuria
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Wananchi mbali mbali baada ya Swala ya ElIdd Fitri iliyoswaliwa
leo katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja katika kusherekekea
kumalizika kwa Mfungo wa MweziMtukufu wa Ramadhan
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Wananchi mbali mbali baada ya Swala ya ElIdd Fitri iliyoswaliwa
leo katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja katika kusherekekea
kumalizika kwa Mfungo wa MweziMtukufu wa Ramadhan
Katibu wa
Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga alipokuwa akitoa khutba
baada ya Swala ya El Idd elfitri iliyoswaliwa katika Uwanja wa Maisara Suleiman
Mjini Unguja katika kusherehekea Sikukuu ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan
aliyohudhuriwa na Viongozi wa Kitaifa na Waislamu mbali mbali wa Mkoa wa
Mjini Magharibi leo, Juni 26, 2017. (PICHA NA IKULU YA ZANZIBAR)
COMMENTS