UHAMIAJI TANGA WAANZISHA KUZUIZI MKATA KUWAKABILI WAHAMIAJI HARAMU

IDARA ya Uhamiaji Mkoani Tanga imeanza mikakati ya kukabiliana kwa vitendo na wimbi la wahamiaji haramu kuingia mkoani hapa...


IDARA ya Uhamiaji Mkoani Tanga imeanza mikakati ya kukabiliana kwa vitendo na wimbi la wahamiaji haramu kuingia mkoani hapa kwa kuanzisha kizuizi eneo la Mkata wilayani Handeni kwa muda wa saa 24.
Hayo yalibainishwa na Afisa Uhamiaji Mkoani Tanga DCI, Crispin Ngonyani wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mipango waliojiwekea kuzibiti vitendo vya namna hiyo.

Alisema wameamua kuanzisha mpango huo kutokana na asilimia kubwa ya wahamiaji haramu hao wanapokuwa wamefika kwenye eneo hilo la kizuizi wanashushwa na kupakia pikipiki maarufu kama bodaboda na kuingia mkoani Tanga.

“Kutokana na hali hiyo ndio maana tumeamua kuweka kizuizi hicho ambacho kimekuwa ni eneo ambalo linatumika kuwafaulisha wahamiaji haramu kwenye pikipiki maarufu kama bodaboda kwa lengo la kuzibiti suala hilo kwa vitendo “Alisema.

Aidha pia alisema hivi sasa wamejipanga kuhakikisha wanadhibiti maeneo yote ambayo yamekuwa na mianya ya kutumia kwa ajili ya kupitia ili kuweza kuhakikisha hawaingii mkoani Tanga.

“Lakini pia tuwatake wananchi kuhakikisha wanawafichua wahamiaji haramu pindi wanapokuwa wakiwaona kwenye maeneo yao kwani wamekuwa na madhara makubwa hivyo wanapaswa kutoa taarifa kwa mamlaka husika “Alisema.

Hata hivyo aliwataka wananchi kuendelea kutoa taarifa iwapo watabaini kuwepo kwa watu wasiowaelewa kwenye maeneo yao ili hatua kali ziweze kuchukuliwa.
Habari kwa hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: UHAMIAJI TANGA WAANZISHA KUZUIZI MKATA KUWAKABILI WAHAMIAJI HARAMU
UHAMIAJI TANGA WAANZISHA KUZUIZI MKATA KUWAKABILI WAHAMIAJI HARAMU
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj-a4AeeROd68FD2ChqMMbp3l1VezbwITeINmCZ3Uxvb3ZDuEjr7ZlpTiRh_BJ60vO4_nHgiKdSieKY-I-VQBadFt0xF_fF3ejguEZhESHErhGYmfFOjHIuMZ9stQP3N9crE19U6UglgJVj/s640/4.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj-a4AeeROd68FD2ChqMMbp3l1VezbwITeINmCZ3Uxvb3ZDuEjr7ZlpTiRh_BJ60vO4_nHgiKdSieKY-I-VQBadFt0xF_fF3ejguEZhESHErhGYmfFOjHIuMZ9stQP3N9crE19U6UglgJVj/s72-c/4.JPG
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/uhamiaji-tanga-waanzisha-kuzuizi-mkata.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/uhamiaji-tanga-waanzisha-kuzuizi-mkata.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy