Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vina na Watu Wenye Ulemavu, Anthony Mavunde, akimkabidhi Kombe la...
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vina na Watu Wenye Ulemavu, Anthony Mavunde, akimkabidhi Kombe la
SportPes Super Cup, Nahodha wa Gor Mahia baada ya kuibuka washindi
katika fainali ya kombe hilo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru dhidi ya
AFC Leopards na kushinda mabao 3-0. (Picha kwa hisani ya Montage Ltd)
Wachezaji
wa Gormahia ya Kenya wakishangilia bao dhidi ya AFC Leopards kwenye
mchezo wa fainali ya kombe la Sportspesa Super Cup 2017 kwenye uwa ja wa
Uhuru jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji wa Gor Mahia, Muguna Kenneth, akimtoka beki wa AFC Leopards, Abdallah Salim, wakati wa mchezo wa Fainali wa mashindano ya SportPes Super Cup, uliozikutanisha timu zote za Kenya uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji wa Gor Mahia, Muguna Kenneth (kushoto) akimtoka beki wa AFC Leopards, Ramadhan Yakubu, wakati wa mchezo wa Fainali wa mashindano ya SportPes Super Cup, uliozikutanisha timu zote za Kenya uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji wa Gor Mahia, Muguna Kenneth (kushoto) akimtoka beki wa AFC Leopards, Abdallah Salim, wakati wa mchezo wa Fainali wa mashindano ya SportPes Super Cup, uliozikutanisha timu zote za Kenya uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji wa Gor Mahia, Kagere Medie, akiruka kupiga mpira wa kichwa langoni kwa AFC Leopards, wakati wa mchezo wa Fainali wa mashindano ya SportPes Super Cup, uliozikutanisha timu zote za Kenya uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
COMMENTS