MAVUNDE AKABIDHI KOMBE LA SPORTPESA SUPER CUP KWA GOR MAHIA FC LEO

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vina na Watu Wenye Ulemavu, Anthony Mavunde, akimkabidhi Kombe la...

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vina na Watu Wenye Ulemavu, Anthony Mavunde, akimkabidhi Kombe la SportPes Super Cup, Nahodha wa Gor Mahia baada ya kuibuka washindi katika fainali ya kombe hilo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru dhidi ya AFC Leopards na kushinda mabao 3-0. (Picha kwa hisani ya Montage Ltd)
Wachezaji wa Gormahia ya Kenya wakishangilia bao dhidi ya AFC Leopards kwenye mchezo wa fainali ya kombe la Sportspesa Super Cup 2017 kwenye uwa ja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
 
Mshambuliaji wa Gor Mahia, Muguna Kenneth, akimtoka beki wa AFC Leopards, Abdallah Salim, wakati wa mchezo wa Fainali wa mashindano ya SportPes Super Cup, uliozikutanisha timu zote za Kenya uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji wa Gor Mahia, Muguna Kenneth (kushoto) akimtoka beki wa AFC Leopards, Ramadhan Yakubu, wakati wa mchezo wa Fainali wa mashindano ya SportPes Super Cup, uliozikutanisha timu zote za Kenya uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji wa Gor Mahia, Muguna Kenneth (kushoto) akimtoka beki wa AFC Leopards, Abdallah Salim, wakati wa mchezo wa Fainali wa mashindano ya SportPes Super Cup, uliozikutanisha timu zote za Kenya uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. 
 
Mshambuliaji wa Gor Mahia, Kagere Medie, akiruka kupiga mpira wa kichwa langoni kwa AFC Leopards, wakati wa mchezo wa Fainali wa mashindano ya SportPes Super Cup, uliozikutanisha timu zote za Kenya uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. 
 

Beki wa AFC Leopards, Abwao Marcus akiwania mpira na mshambuliaji wa Gor Mahia, Wafula Innocent, wakati wa mchezo wa Fainali wa mashindano ya SportPes Super Cup, uliozikutanisha timu zote za Kenya uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. 

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MAVUNDE AKABIDHI KOMBE LA SPORTPESA SUPER CUP KWA GOR MAHIA FC LEO
MAVUNDE AKABIDHI KOMBE LA SPORTPESA SUPER CUP KWA GOR MAHIA FC LEO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh74ylb7-bzFN1yKYkui1xMZVmTXhgA0k7knimnxWeeDKknkV8b5AHJTBFjBipUrz1SnzDQ8xIqgTL-HxN0PIHecVDySgfnGhcImqzfRq9gAukD-T_qbM2S0vN4rdYY2Fxt8O27KbuXW3w/s640/2%25281%2529.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh74ylb7-bzFN1yKYkui1xMZVmTXhgA0k7knimnxWeeDKknkV8b5AHJTBFjBipUrz1SnzDQ8xIqgTL-HxN0PIHecVDySgfnGhcImqzfRq9gAukD-T_qbM2S0vN4rdYY2Fxt8O27KbuXW3w/s72-c/2%25281%2529.jpg
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/mavunde-akabidhi-kombe-la-sportpesa.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/mavunde-akabidhi-kombe-la-sportpesa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy