Watanzania wenye asili ya kihindi wakiwa kwenye kifaa kinachotumika na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, baada ya jengo lililopo Mtaa...
Watanzania
wenye asili ya kihindi wakiwa kwenye kifaa kinachotumika na Jeshi la Zimamoto
na Uokoaji, baada ya jengo lililopo Mtaa wa Indira Ghandhi,jijini Dar es
Salaam, kushika moto ambao ulifanikiwa kuzimwa na askari wa jeshi hilo kabla
haujaleta madhara.Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana. Wananchi wamelipongeza jeshi la Zimamoto kwa kufika eneo la tukio
kwa wakati na licha ya kuwa na vifaa duni walifanikiwa kuzima moto huo.(PICHA NA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI)
Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, wakijiandaa
kupokea waathirika wa janga la moto katika shughuli za uzimaji moto baada ya jengo
lililopo Mtaa wa Indira Ghandhi,jijini Dar es Salaam,kushika moto ambao
ulifanikiwa kuzimwa na askari wa jeshi hilo kabla haujaleta madhara.Chanzo cha
moto huo bado hakijajulikana
Jengo la ghorofa 12 lililopo Mtaa wa Indira
Ghandhi lililoshika moto na kufanikiwa kuzimwa na askari wa Jeshi la Zimamoto
na Uokoaji,leo jijini Dar es Salaam
Jengo la ghorofa 12 lililopo Mtaa wa Indira
Ghandhi lililoshika moto na kufanikiwa kuzimwa na askari wa Jeshi la Zimamoto
na Uokoaji,leo jijini Dar es Salaam
COMMENTS