Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto), akisalimiana na Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mhe. Mousa Farhang (Kulia) walipokut...
Spika
wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto), akisalimiana na Balozi wa Iran nchini
Tanzania, Mhe. Mousa Farhang (Kulia) walipokutana leo katika kikao
kilichofanyika ofisini kwake Mjini Dodoma.(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akipiga
picha ya pamoja na Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mhe. Mousa Farhang (Kulia)
walipokutana leo katika kikao kilichofanyika ofisini kwake Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto)
akimsikiliza Spika Mstaafu, Mhe. Anne Makinda (kulia) ugeni uliomtembelea leo
Ofisini kwake Mjini Dodoma.
COMMENTS