Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewasili mkoani Kilimanjaro na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewasili mkoani Kilimanjaro na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Saidi Meck Sadiki pamoja na viongozi wengine wa Serikali na Chama Cha Mapinduzi katika uwanja wa ndege wa ndege wa Kimataifa Kilimnajaro (KIA) leo. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
COMMENTS